mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Mimi nafanya kazi kwenye kampuni kubwa tu, Kuanzia wiki iliyopita kumekuwa na vikao vya wakurugenzi na mmiliki wa kampuni hali imekuwa mbaya, raw materials zote za uzalishaji wa material ya kutengeneza matrailer mali nyingine hamna, nchi zilizokuwa zinategemewa kuingiza material kutoka Ulaya zipo kwenye lockdown na hawafanyi kazi.
Kampuni haizalishi wala kuuza chocote na wameona wafanyakazi wote tunaenda kupewa likizo ya miezi miwili yenye malipo, lakini hali ikiendelea tunaweza ongezewa likizo ndefu isiyo na malipo, na hapa kinachosaidia wengi tulikuwa na mikataba ya kudumu
Tuombeane jamani na tuwe makini, hii hali isikukute ukiwa na familia inayokutegemea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni haizalishi wala kuuza chocote na wameona wafanyakazi wote tunaenda kupewa likizo ya miezi miwili yenye malipo, lakini hali ikiendelea tunaweza ongezewa likizo ndefu isiyo na malipo, na hapa kinachosaidia wengi tulikuwa na mikataba ya kudumu
Tuombeane jamani na tuwe makini, hii hali isikukute ukiwa na familia inayokutegemea
Sent using Jamii Forums mobile app