TCU nako kuna nini tena? Kuibiwa nyaraka muhimu si suala la kutisha maana nyaraka muhimu walizo nazo ni wanafunzi walioomba kujiunga na vyuo.
Kama vipi watawaomba ku-reapply ila 30,000/- ndo hivo wasiombe tena na vyuo vikuu ambavyo ndiyo vinavyotaka wanafunzi toka kwao wataviomba vitume tena entry qualifications kama hazipo.
Wewe unayesema ni CDM sijui kama nadharia hii itafanya kazi maana kazi ya kulinda usalama wa raia na mali ni kazi ya serikali kwa hiyo kama CDM ndiyo wenye dola watakuwa wamehusika vinginevyo hawahusiki na ulinzi wa ofisi za serikali.
Usifikiri TCU ni NGO ni ofisi ya serikali!
pole sana,,,we unadhan tcu wana kazi moja tu????