Ofisi za TCU zavunjwa, computers na nyaraka nyeti zaibwa!

TCU nako kuna nini tena? Kuibiwa nyaraka muhimu si suala la kutisha maana nyaraka muhimu walizo nazo ni wanafunzi walioomba kujiunga na vyuo.

Kama vipi watawaomba ku-reapply ila 30,000/- ndo hivo wasiombe tena na vyuo vikuu ambavyo ndiyo vinavyotaka wanafunzi toka kwao wataviomba vitume tena entry qualifications kama hazipo.

Wewe unayesema ni CDM sijui kama nadharia hii itafanya kazi maana kazi ya kulinda usalama wa raia na mali ni kazi ya serikali kwa hiyo kama CDM ndiyo wenye dola watakuwa wamehusika vinginevyo hawahusiki na ulinzi wa ofisi za serikali.

Usifikiri TCU ni NGO ni ofisi ya serikali!

pole sana,,,we unadhan tcu wana kazi moja tu????
 
Nyie wanafaunzi mnafkiri data zenu ziko kwenye laptop za TCU?!!!!!!.......hahahaaa!
 
Makongoro Mahanga anahusika na wizi huu akishirikisha wake mafisadi WA elimu
 

Hizo ofisi za TCU zimevunjwa na Chadema. Wao ndiyo waliogiza wale vijana kuvamia ofisi hizo na kuiba nyaraka kwa lengo la kutaka kuonyesha kuwa serikali ya Chama Cha Mapinduzi na Rais wake Jakaya Kikwete, ni dhaifu.

Wananchi tutoke barabarani kukilaani chama hiki kwa hatua yake ya kufadhiri wezi: Vyuo vyote nchini vimeshikwa na Chadema – Nape Nnauye.

Duh...! we ni huyu Nape og au fake aisee!!! Sina mbavu kabisa. Haya bwana Nape
 
Watanzania tutaacha lini ulimbukeni?? Eti Chadema wametuma majambazi! Sitaki kuamini haya mawazo, labda ni ndoto!! Kila kitu chadema??!! Yaani chochote tu chadema! Haya bwana, kweli tumefika mwisho wa kufikiri
 
Hii sio mara ya kwanza kwa ofisi hiyo kuvunjwa,
Yanaachwa kuvunjwa mabenki na maduka ya fedha wanakuja kuiba computers???

Hapa kuna namna!!
 
lakini ofisi nyeti kweli kama TCU kweli haina walinzi wenye silaha za moto kama polisi wanavyolinda benki?, serikali haijui ile ni ofisi nyeti yenye hazina ya elimu ya wananchi wake?
dah, inauma.

Unabisha serikali DHAIFU!!!!! Kuna sensitive and confidential and say top secret documents and it is not well secured!! DHAIFU, just admit it is DHAIFU.
 
nchi yangu weee! Watu wangu weeee! Nchi yangu,watu wangu siasa zao...ni baadhi ya mistari ya wimbo wa 2proud a.k.a sugu toka kwenye album ya nje ya bongo..ya mwaka 1998..kaazi kweli kweli
 
teh teeeh, mkuu umenifurahisha sana!, halafu waki-resume on work unawaambia deni lao ULISHAMALIZA kulipa!
huo ndo mpango mzima yaani maombi yangu ile ofisi nayo ivunjwe...
 
Ninyi CDM mnataka serikali hii isitawalike. Sasa ngoja tuwaonyeshe. Tutavamia ofisini zenu na kuiba kila kitu, kisha tutajibu mapigo kwa kusema, "Dk. Slaa naye ni dhaifu. Aruhusu wezi kuvunja ofisi yake." Nape Nnauye.

**** wewe
 

Hizo ofisi za TCU zimevunjwa na Chadema. Wao ndiyo waliogiza wale vijana kuvamia ofisi hizo na kuiba nyaraka kwa lengo la kutaka kuonyesha kuwa serikali ya Chama Cha Mapinduzi na Rais wake Jakaya Kikwete, ni dhaifu.

Wananchi tutoke barabarani kukilaani chama hiki kwa hatua yake ya kufadhiri wezi: Vyuo vyote nchini vimeshikwa na Chadema – Nape Nnauye.

mpuuz wewe
 
Hasira za wale walio kosa mikopo wameamua wagawane urithi mapema
 
Back
Top Bottom