Ofisi za TCU zimevamiwa usiku wa kuamkia leo na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Walinzi wake wamelewa kwa kinachaodhaniwa ni madawa ya kulevya waliyonyweshwa na hadi majira ya mchana huu hawajaamka. Eneo la ofisi liko chini ya ulinzi mkali wa polisi wakati uchunguzi wa tukio hilo ukiendelea.
Source: ITV.
Source: ITV.