Hivi ofisi za RITA zipo kila mkoa?
Au ndo zile ofisi za vizazi na vifo zinazopatikana ktk ofisi za Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya.?
Binafsi ninamtoto waumri wa miaka 8 naishi nae yy amezaliwa Tanga nakwasasa naishi nae Mbeya sasa nimeenda ofisi za vizazi na vifo zinazopatikana ktk ofisi ya mkuu wa wilaya pale Retkoili nipate cheti cha kuzaliwa wakanijibu cheti chake nikifuate Tanga.
Sasa naona nimzunguuko sana ivi hizi ofisi za RITA haziwezi kunisaidia nipate cheti chakuzaliwa chahuyu mtoto kwa huku huku nilipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.