moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
Hatariii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatariii
Sent using Jamii Forums mobile app