Ofisi za muda za TAMISEMI Dodoma

moyafricatz

JF-Expert Member
Nov 27, 2015
2,900
4,865
Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
1072478


Hatariii
IMG-20190415-WA0085.jpeg
IMG-20190415-WA0086.jpeg
IMG-20190415-WA0089.jpeg
IMG-20190415-WA0088.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478

HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dalili ya bangi ya Njombe iliyovutwa kisirisiri hapa!
 
Jengo la Wizara ya Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) linalojengwa katika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Rais John Magufuli amesema wizara hiyo imeshindwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo kwa muda uliopangwa hivyo amemtaka Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo na watumishi wa wizara hiyo kuahamia hivyo hivyo
View attachment 1072478

HatariiiView attachment 1072336View attachment 1072337View attachment 1072338View attachment 1072339

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siamini hii kitu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ni kama yale ya wafuasi wa Kibwetere kutii kila wanaloambiwa na kiongozi wao hata kama halina logic!
Tunapaswa kuchukua hatua (hasa hao wanaojiita ccm) nchi inaangamia kwa kwa kupewa rungu nanihii!
Eitha tusaidiane tumnyanganye au tumshangilie kwa vile kavaa jezi ya Yanga huku anatwanga marungu watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapaswa kuchukua hatua (hasa hao wanaojiita ccm) nchi inaangamia kwa kwa kupewa rungu nanihii!
Eitha tusaidiane tumnyanganye au tumshangilie kwa vile kavaa jezi ya Yanga huku anatwanga marungu watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunacheka; ukweli ni kuwa huyu bhana kuba akili haipo sawa! Hii bangi ya gizani tuuu!
 
Back
Top Bottom