Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Naaam
Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki .

kama kawaida sisi "watazamaji" kazi yetu ni kukumbusha, kuhoji, kukossoa na kusifia yale yaliyofuata baada ya janga.

Sasa swali na hoja yangu ni kutoka kujua je kitengo cha Maafa ofisi ya waziri mkuu(Nadhani na zanzira kipo chini ya ofisi ya waziri kiongozi) dhumuni na wajibu wake mkubwa ni nini?
  • Kusbiri majanga yatokee ili waote sanda na rambi rambi na kutangza maombolezo
  • Kuanisha maneneo yahohiytaji ungaliaizi wa hali ya juu na hivyo kusaidia kuzuia au kupunguza maafa ya majagan kabla au baada ya kutokea ?
Kifupi napenda kujua kitengo cha MAAFA ofisi wa waziri mkuu MISSION, VISSION na strategy zake ni nini?
 
Naaam
Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki .

kama kawaida sisi "watazamaji" kazi yetu ni kukumbusha, kuhoji, kukossoa na kusifia yale yaliyofuata baada ya janga.

Sasa swali na hoja yangu ni kutoka kujua je kitengo cha Maafa ofisi ya waziri mkuu(Nadhani na zanzira kipo chini ya ofisi ya waziri kiongozi) dhumuni na wajibu wake mkubwa ni nini?
  • Kusbiri majanga yatokee ili waote sanda na rambi rambi na kutangza maombolezo
  • Kuanisha maneneo yahohiytaji ungaliaizi wa hali ya juu na hivyo kusaidia kuzuia au kupunguza maafa ya majagan kabla au baada ya kutokea ?
Kifupi napenda kujua kitengo cha MAAFA ofisi wa waziri mkuu MISSION, VISSION na strategy zake ni nini?

Acha uvivu gonga hapa The United Republic Of Tanzania -Prime Minister's Office
 

Aksante mkuu kumbe on paper tuko salama na majanga mengi. lakini kivitendo ndio ilipo shughuli

Sababu sijawai japo kusikia tahadhari may be kwa miezi fulani yenye upepoo mkali hawa jama wakishirikiana na Kitengo cha hali yhewa kuwatahadrisha n kuwasistsiza watu wanaotumia vyombo vya maji iwe ni baharini au ziwa victoria au Tanganyika kuwa makini.
 
Naaam
Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki .

kama kawaida sisi "watazamaji" kazi yetu ni kukumbusha, kuhoji, kukossoa na kusifia yale yaliyofuata baada ya janga.

Sasa swali na hoja yangu ni kutoka kujua je kitengo cha Maafa ofisi ya waziri mkuu(Nadhani na zanzira kipo chini ya ofisi ya waziri kiongozi) dhumuni na wajibu wake mkubwa ni nini?
  • Kusbiri majanga yatokee ili waote sanda na rambi rambi na kutangza maombolezo
  • Kuanisha maneneo yahohiytaji ungaliaizi wa hali ya juu na hivyo kusaidia kuzuia au kupunguza maafa ya majagan kabla au baada ya kutokea ?
Kifupi napenda kujua kitengo cha MAAFA ofisi wa waziri mkuu MISSION, VISSION na strategy zake ni nini?
Acha uvivu gonga hapa The United Republic Of Tanzania -Prime Minister's Office

Nafikiri muuliza swali alikuwa hajui kama kuna mtandao unaoelezea mambo ambayo hayaoni wala kuyafahamu on ground. Ningekuwa mimi ningehoji tafsiri ya kitengo ya maafa kwa nini kisiitwe KITENGO CHA MAJANGA. Na tusiishie hapo tufanye ammendment kiitwe kitengo cha kuzuia MAJANGA?. Maana maafa inafanya watu walale na kusubiri maafa wapate justification ya kuchota pesa kwa mambo yao.
 

7818.jpg

i

Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika

IMG_6975.JPG



Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo

IMG_9142.jpg


wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida
 

7818.jpg

i

Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika

IMG_6975.JPG



Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo

IMG_9142.jpg


wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida

Walaumi na walioingia ukumbini wakati Taifa liko kwenye maombolezo
 
Nafikiri muuliza swali alikuwa hajui kama kuna mtandao unaoelezea mambo ambayo hayaoni wala kuyafahamu on ground. Ningekuwa mimi ningehoji tafsiri ya kitengo ya maafa kwa nini kisiitwe KITENGO CHA MAJANGA. Na tusiishie hapo tufanye ammendment kiitwe kitengo cha kuzuia MAJANGA?. Maana maafa inafanya watu walale na kusubiri maafa wapate justification ya kuchota pesa kwa mambo yao.

Mkuu sio kwamba sifahamu ikabisa . Nilijaribu kutafta link hii nikaikosa lakini msingi wa kuleta mjdala huu ni kuuliza msisitizo wa hii IDARA uo wapi. Kwenye kusghulikia majanga na maafa yakitokea au pia wanwea effor zao kwenye key areas amabzo znaweza kueleta majanga na kuwashtua wahusika mapema

So far nimeona kwenye maelezo ya makaratasi. tuko salama kabisa. Sasa tujiulize na tuwaulize
  • kuna ripoti gani na zinatoka kila baada ya muda gani kwa hali ya usalama kila ziwa, na baharini ?
  • Je kipindi cha kipuwe na upepo mkali baharii na kwenye maziwa kuna kampeni maalum ya kuwatadhirisha watu na watumiaji ? Kuna survey maalum inafanyika kipindi hiki.? Kuna utafiti wa makini wa hali ya hewa unafanyika kipindi hiki nauwaiati habari wahuika?
 
Hicho kitengo si lolote si chochote! Ni ulaji wa watu tu.
 
Back
Top Bottom