JohnWerema
New Member
- Jun 16, 2011
- 1
- 0
Nimeambiwa na wafanyakazi wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kuwa hivi sasa ofisi hiyo inaongozwa na kuendeshwa na hawala wa bwana John Tendwa niliyepata jina moja anaitwa Zakia. Inasemekana bwana tendwa yupo kisheria tu lakini kila mipango na maamuzi yanafanywa na hawala yake huyu. Sasa huyu bwana kama amechoka kazi na kugawa madaraka yake kwa hawala zake naona serikali mpuumzishe tu, kuliko kuja kutubomolea demokrasia yetu ya vyama vingi iliyojengwa kwa gharama kubwa, kwa tabia na tamaa zake za kufikiria kwa kutumia fimbo yake na kutawaliwa na sketi.