Ole Milya atajuta kuzaliwa! Kwa Sendeka hapo Simanjiro hapindui meza!!Aiseeee Ole Millya VIMA YANAGONGA PICHU.
Yaani Wapuuzi waliounga mkono juhudi imekula kwao ,nimeshangaa hadi mtulia naye kachukua fomu wakati kabisa hawezi kupitishwa!!! Alishakula vipande vyake 30 vya fedha za usailiti atulie tu!Ole Milya atajuta kuzaliwa! Kwa Sendeka hapo Simanjiro hapindui meza!!
Ole Sendeka kwa Simanjiro labda aje aangushwe kwenye sanduku la kura na mpinzani. Ole Milya hafui dafu kwa Sendeka ndani ya CCM!!Sendeka ataenda kuchunga ng'ombe.......ngoja tuone!
Umeona ee...kwamba yeye nani eti azuie watu kutafuta Uongozi😀Pipo zimeamua kukaidi ushauri wa boss, sasa kama hawamsikilizi wakati yupo madarakani akitoka sijui itakuwaje?!!