Ofisi ya habari ya Baraza la Serikali la China imetoa ripoti kuhusu Marekani kukiuka haki za binadamu mwaka 2020

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Ripoti hiyo inasema, Serikali ya Marekani ilivuruga hatua za kukabiliana na janga la COVID-19, na kusababisha maafa makubwa ya kibinadamu. Ukosefu wa utaratibu wa mfumo wa demokrasia ulisababisha vurugu za kisiasa, na kuzidi kufarakanisha jamii ya Wamarekani.

Watu wa makabila madogo wanakabiliwa na ubaguzi wa rangikatika nyanja zote, hivyo kuwa na taabu kubwa. Biashara ya bunduki na matukio ya mashambulizi ya upigaji risasi vimevunja rekodi, na watu wamekufa moyo kuhusu utaratibu wa jamii.

George Floyd mwenye asili ya Afrika kuuawa kinyama na polisi mzungu kulisababisha hasira kubwa katika jamii ya Marekani. Pengo kati ya watu maskini na tajiri lilikuwa limeongezeka, na watu maskini zaidi wanaishi maisha magumu sana.

Ripoti hiyo pia inasema, badala ya kutafakari makosa yake yaliyosababisha majanga hayo ya haki za binadamu, serikali ya Marekani ilizinyoshea vidole nchi nyingine katika mambo ya haki za binadamu, hali ambayo inafichua unafiki wake na kigeugeu chake katika suala la haki za binadamu
 
Stupic China, unaongelea haki za binadamu vs US ? stupid china! Nchi ya chama kimoja na Jin Ping ni "Mungu" halafu unasema USA?
In china a murder case hardly takes 5 minutes imeisha!

Kwa hiyo marekani pekee ndiye mwenye haki ya kutoa taarifa za China!!!???
Mjiandae kiakili. Maana mengi yanakuja.
 
Ripoti hiyo inasema, Serikali ya Marekani ilivuruga hatua za kukabiliana na janga la COVID-19, na kusababisha maafa makubwa ya kibinadamu. Ukosefu wa utaratibu wa mfumo wa demokrasia ulisababisha vurugu za kisiasa, na kuzidi kufarakanisha jamii ya Wamarekani.

Watu wa makabila madogo wanakabiliwa na ubaguzi wa rangikatika nyanja zote, hivyo kuwa na taabu kubwa. Biashara ya bunduki na matukio ya mashambulizi ya upigaji risasi vimevunja rekodi, na watu wamekufa moyo kuhusu utaratibu wa jamii.

George Floyd mwenye asili ya Afrika kuuawa kinyama na polisi mzungu kulisababisha hasira kubwa katika jamii ya Marekani. Pengo kati ya watu maskini na tajiri lilikuwa limeongezeka, na watu maskini zaidi wanaishi maisha magumu sana.

Ripoti hiyo pia inasema, badala ya kutafakari makosa yake yaliyosababisha majanga hayo ya haki za binadamu, serikali ya Marekani ilizinyoshea vidole nchi nyingine katika mambo ya haki za binadamu, hali ambayo inafichua unafiki wake na kigeugeu chake katika suala la haki za binadamu

Mkubwa na mkubwa mwenzie
 
Back
Top Bottom