Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha imekumbwa na aibu ya mwaka baada ya uongozi kushindwa kukarabati choo cha jengo hilo kilichoziba kwa muda mrefu ,ambapo kwa sasa kimefurika maji machafu na kinyesi na kutiririsha eneo la ofisi hiyo na kuwafanya watumishi wa jengo hilo akiwemo DC, Raymond Mushi kuingia ofisini akiwa ameziba mdomo na kitambaa huku wakikanyaka maji machafu yaliyotapakaa kila pembe.