Ofisi ya Bunge: Mpendazoe bado ni mbunge wa Kishapu

bnge linatucheza akili hapa................wamfute ubunge kwani si kajitangaza hadharani! na wao wanajua ni mbunge kwa kupitia chama gani mwnzo?
this bunge naona kama linakosa kujua kazi zake
 
Unaongea vitu ambavyo ni rahisi sana mkuu sio kwamba hatuelewi vya katiba zote kama unavyodhani, and you are doing this not b'se hauna uwezo no... only because umefungwa kitambaa na huoni mkurupuko wa Mpendazoe shujaa wako.

My response:
Mr Kasheshe you sound a very judgmental person and quick to conclusions. However my simple point was that, Pendazoe was frustrated by his former party, leading to their disagreement and separation. My position on this is that we should not only rush to rulings against Pendazoe, unless we have specific sides. Pendazoe is not our enemy; he is just a free person like you and me and has verbally as well as practically expressed his feelings against the blemish party.

My second point was that, Pendazoe did not defect the Bunge at first and had no reason to quit it or to hurriedly submit his resignation letter to the office thereof. If there could be any means to make him remain a representative of his people he could have opted for it. After all he loves the Bunge...
But: The clauses in the Union Constitution require him to relinquish the parliamentarianship; this is the consequence of his disconnection with the former party. My position here is that: we wait for a legal challenge to be resolved - because is one ...

Pendazoe declared publically that he is joining a new party .. I think this action sends two information to his constituency and the house of representatives simultaneously. On the other hand he is trying to protect his colleagues in the parliament and his people in the constituency by not declaring to them the results of his quarrels with his former party. Just like father and mother when quarrel in their room they don’t have to come out and explain their quarrelsome to their innocent children. The impact of the information will do much harm to the children.

Kuna wakati utaona kitambaa kikiondolewa kwa sasa it won't happen. I feel sorry for you...

My response:
Thank you for feeling so against me. But I hope that when “kitambaa” is removed we’ll see the truth between Pendazoe and the Ruling Party and we’ll know exactly who is to blame.

Wakati ule Mrema akitoka CCM wengi tulijua kwamba alichemka process... kosa sio kutoka... na Mpendazoe hana kosa kutoka... but process ya kutoka... he got it wrong... na history itakuwa hivyo tu mkuu...

My Response:
This is to do with time. Mrema and others quitted the ruling party more than a decade ago when people were still optimistic with the ruling party and the government thereof. Pendazoe has left the same party at a different time, a critical time and a time where a good number of people are no longer contented. Yes I know that there are still a good number of people who are still supportive to the ruling party, but their number is slowly dwindling.

Pole sana... I know it hurt you... lakini ukweli ndio hivyo shujaa amechemsha... na angekuwa makini asingefanya hivyo... atachemka tu hata huko mbeleni....

My Response
Thank you for feeling pity with me but I am not hurt anyhow. I am just giving out my recollection and trying to support whatever sounds more logical as well as to learn from you and others if at all.
 
Thatha jamani, hiki ni kiini macho au CCM wamemtuma akivuruge chama chetu? Ashindwe na alegeeeee.
 
Mimi nawatakia kila la kheri wanaona Mpendazoe alivyofanya ni sahihi, lakini msimamo wangu ni kwamba alikurupuka kama alivyokurupuka Augustion Lyatonga Mrema.
Na historia hiyo haitafutika daima...

Hayuko makini period.

Muhidini Ndolanga type.....
 
Mimi si mwanasiasa na siamini katika chama chochote. Huyu Mpendazoe ametangaza kuhama chama chake cha CCM na kuhamia chama kisicho na usajili cha CCJ, kama CCJ haina usajili ni sawa na kusema Mpendazoe bado hajahama CCM labda kama amerudisha kadi yake kwa Uongozi wa CCM. Kwa maana nyingine CCM haiwezi kuripoti Bungeni kuwa aliyekuwa mwanachama wake amehamia CCJ kwani CCJ haipo kisheria hivyo hata kwenye ushindani wa kisiasa CCJ bado hakipo kwenye orodha ya vyama vinavyopingana na CCM. Kwa lugha fupi huwezi kukataa urai wakati huo huo bado ukawa na Passport ya hiyo nchi unayoikataa
 
Mimi si mwanasiasa na siamini katika chama chochote. Huyu Mpendazoe ametangaza kuhama chama chake cha CCM na kuhamia chama kisicho na usajili cha CCJ, kama CCJ haina usajili ni sawa na kusema Mpendazoe bado hajahama CCM labda kama amerudisha kadi yake kwa Uongozi wa CCM. Kwa maana nyingine CCM haiwezi kuripoti Bungeni kuwa aliyekuwa mwanachama wake amehamia CCJ kwani CCJ haipo kisheria hivyo hata kwenye ushindani wa kisiasa CCJ bado hakipo kwenye orodha ya vyama vinavyopingana na CCM. Kwa lugha fupi huwezi kukataa urai wakati huo huo bado ukawa na Passport ya hiyo nchi unayoikataa

VA,

Umeiweka vizuri, nadhani wale wapenzi wake wamuulize, kadi ya CCM ameiweka wapi? Si airudishe basi!!! Huyu jamaa anaweza akawa anawachezea wabongo shere.
 
Mimi si mwanasiasa na siamini katika chama chochote. Huyu Mpendazoe ametangaza kuhama chama chake cha CCM na kuhamia chama kisicho na usajili cha CCJ, kama CCJ haina usajili ni sawa na kusema Mpendazoe bado hajahama CCM labda kama amerudisha kadi yake kwa Uongozi wa CCM. Kwa maana nyingine CCM haiwezi kuripoti Bungeni kuwa aliyekuwa mwanachama wake amehamia CCJ kwani CCJ haipo kisheria hivyo hata kwenye ushindani wa kisiasa CCJ bado hakipo kwenye orodha ya vyama vinavyopingana na CCM. Kwa lugha fupi huwezi kukataa urai wakati huo huo bado ukawa na Passport ya hiyo nchi unayoikataa


sijui watu mnajengaje hoja; haipo kisheria maanake nini? Sheria inaruhusu usajili wa muda, CCJ imepewa usajili wa muda, CCJ ni chama cha siasa chenye usajili wa muda kiliopewa na chombo halali.. saa kusema kuwa "hakipo kisheria manake nini". Kama Msajili angetangaza kuwa amekinyima usajili wa muda, basi unaweza kusema hakipo kisheria! grrrrrrr NI sawa sawa na mtu anapewa leseni ya uanafunzi ili aendeshe gari, sasa kwa vile hana leseni ya kudumu mtasema anaendesha gari kinyume cha sheria!!! mkienda mahakamani mtabwagwa kama lumbesa.
 
VA,

Umeiweka vizuri, nadhani wale wapenzi wake wamuulize, kadi ya CCM ameiweka wapi? Si airudishe basi!!! Huyu jamaa anaweza akawa anawachezea wabongo shere.

Hivi wote wanaohama vyama vyao huandika barua kwa katibu mkuu au mwenyekiti na kurudisha kadi? Kaborou, Lamwai, Tambwe Hiza, Njelu Keseka, Wilfred Lwakatare na wengine wote walifanya hivyo? Au utaratibu huu unaoongelea ni kwa wale ambao ni wabunge?

Tukifikiri kiujinga ujinga.. Hivi kungekuwa na uwezekano wa kufanya uchaguzi mdogo kiti cha Kishapu kingekuwa bado hakijatangazwa kwamba kiko wazi? Na je, wote Mpenzoe na CCM wakikaa kimya Bunge litafanyaje?
 
Hivi wote wanaohama vyama vyao huandika barua kwa katibu mkuu au mwenyekiti na kurudisha kadi? Kaborou, Lamwai, Tambwe Hiza, Njelu Keseka, Wilfred Lwakatare na wengine wote walifanya hivyo? Au utaratibu huu unaoongelea ni kwa wale ambao ni wabunge?

Tukifikiri kiujinga ujinga.. Hivi kungekuwa na uwezekano wa kufanya uchaguzi mdogo kiti cha Kishapu kingekuwa bado hakijatangazwa kwamba kiko wazi? Na je, wote Mpenzoe na CCM wakikaa kimya Bunge litafanyaje?

kimsingi ndugu zetu hawa haamini kuwa Mpendazoe kweli kaondoka CCM; wanamng'ang'ania kama mchezaji ambaye ameshatoka kwenda timu nyingine na kuwapiga bao kawapiga, na jezi kavaa lakini bado mbona hajamwambia mmiliki.. sasa mmiliki haoni!? Kwa vile Bunge halijapata taarifa rasmi nina uhakika wataendelea kumpa posho yake kama kawaida hadi CCM itakapoamua kutoa taarifa rasmi.
 
Hivi akilipwa mshahara wake bank atauchukua? Hapo atakuwa amejimaliza kisiasa.
 
we have problem in our collective reasoning capacity! we really do...

Reasoning Capacity ndio msingi wa matatizo yetu yote....chanzo chake ni Elimu duni.

Swali la Msingi hapa ni kuwa kwa nini CCM wasitoe taarifa kwenye Ofisi za Bunge kuwa Mpendazoe sio tena Mwanachama wao?

Katiba ya CCM Ibara ya 13 (1) kipengele (e) Kinatamka wazi kuwa Uanachama wa CCM unakoma pale mwanachama anapojiunga na chama kingine "chochote" siasa. Katiba ya CCM haisemi arudishe kadi, aandike barua wala aina ya usajili wa chama.

Ni wajibu wa CCM kuitaarifu Ofisi ya Bunge...Mpendazoe ameshafanya analotakiwa; kujiunga na CCJ.
 
we have problem in our collective reasoning capacity! we really do...

I do agree with you!!! especially when a politician decide to spin and we still think it clear concidence, let look at consitutions etc... it is not our responsibility to dig that much. He decided himself to cross over and announced to the public...

Kama umepatizwa na kuwa mkisto au muislamu kwa nini unaendelea kushikilia ndumba zako na vibuyu vyako... si umeokaka, kwa nini usiache vyote.
 
kimsingi ndugu zetu hawa haamini kuwa Mpendazoe kweli kaondoka CCM; wanamng'ang'ania kama mchezaji ambaye ameshatoka kwenda timu nyingine na kuwapiga bao kawapiga, na jezi kavaa lakini bado mbona hajamwambia mmiliki.. sasa mmiliki haoni!? Kwa vile Bunge halijapata taarifa rasmi nina uhakika wataendelea kumpa posho yake kama kawaida hadi CCM itakapoamua kutoa taarifa rasmi.

Kitendo cha CCM kukaa kimya kinamaslahi sana kwenye proganda. Ofisi ya Bunge inasema wao wanajua Mpendazoe bado ni CCM na CCM yenyewe haijamkana wala kuthibitisha kuwa sio mwanachama wao. Mwananchi wetu jimboni kwake wanamuona Mpendazoe ndio wa kulaumiwa na mwenye kuwarubuni. Kaziiii kweli kweli...
 
I do agree with you!!! especially when a politician decide to spin and we still think it clear concidence, let look at consitutions etc... it is not our responsibility to dig that much. He decided himself to cross over and announced to the public...

Hapa ndipo huwa nasema watz tunapenda mambo mepesi mepesi; sheria inasema x, utaratibu unasema y sisi tunasema z tukiulizwa kwanini tunasema "kwa kweli sikutaka kujua x na y ni nini".. Kwenye masuala ya kisheria basi tujaribu japo kidogo kuegemea sheria. Mpendazoe amepoteza uanachama wa CCM kwa kujiunga na CCJ hivyo Ubunge wake kwenye Bunge la Muungano umekoma kwani amepoteza sifa ya kuwa mbunge. Hili siyo gumu kulielewa. CCM ndiye iliyepeleka jina la Mpendazoe kwenye Tume ya Uchaguzi kuwa ni mgombea wao na akagombea na kushinda; sasa kaondoka ni wao wanatakiwa waandike kwa Tume ya Uchaguzi na kuwaambia aliyekuwa mgombea wao kapoteza uanachama; tume ya Uchaguzi inatoa taarifa kwa Bunge. Hivi ndivyo hufanywa mbunge anapopoteza ubunge kwa kufariki au kuondoka kwenye chama chake. Hili siyo gumu hivyo.

Kama umepatizwa na kuwa mkisto au muislamu kwa nini unaendelea kushikilia ndumba zako na vibuyu vyako... si umeokaka, kwa nini usiache vyote.

Mfano wako haukaribiani na tunalolizungumzia kwani mtu akibadili dini imani yake iko huko kwingine, mengine yanaweza kubakia kuwa ni mapambo tu.. mbona wapo watu wengi tu wana vibuyu ndani ya nyumba zao na mikia ya ng'ombe lakini hawaamini ndumba na hivyo vibuyu.. we have to elevate our reasoning.. this is sad.
 
I do agree with you!!! especially when a politician decide to spin and we still think it clear concidence, let look at consitutions etc... it is not our responsibility to dig that much. He decided himself to cross over and announced to the public...

Kama umepatizwa na kuwa mkisto au muislamu kwa nini unaendelea kushikilia ndumba zako na vibuyu vyako... si umeokaka, kwa nini usiache vyote.

Mkuu Kasheshe

Naona CCM wamefanikiwa kukuchanganya na wewe pia. Hapa unazungumzia nadharia unayoona wewe. Mpendazoe yeye amefuata Katiba ya CCM. Sasa hilo la kurudisha kadi ili kuthibitisha sio mwana-ccm ni la kwako.
 
Kitendo cha CCM kukaa kimya kinamaslahi sana kwenye proganda. Ofisi ya Bunge inasema wao wanajua Mpendazoe bado ni CCM na CCM yenyewe haijamkana wala kuthibitisha kuwa sio mwanachama wao. Mwananchi wetu jimboni kwake wanamuona Mpendazoe ndio wa kulaumiwa na mwenye kuwarubuni. Kaziiii kweli kweli...

I really don't blame ofisi ya Bunge kwa sababu wao wanafuata taratibu tu; Jamaa katangaza kujitoa CCM na kasema kajiunga na chama kingine (CCJ) na anakitumikia; Makamba Katibu Mkuu wa CCM alitakiwa the next day aandike barua kutoa taarifa kwa NEC (election) kuwaambia Mpendazoe amepoteza uanachama.. na Tume inatoa taarifa (pamoja na CCM wenyewe) kwa Bunge kwa sababu chama hakiwezi tu kupeleka barua na kusema fulani kaondoka kwa hiyo aondolewe Ubunge bila kuhusisha tume ya uchaguzi.. Kwa hiyo hapa hakuna kazi yoyote. Naona ni hofu ya watu tu kuionyoshea mkono CCM na kuonesha uzembe wake wa kufanya maamuzi hata yaliyo mepesi kama kukaa chini na kuandika barua.
 
Hivi akilipwa mshahara wake bank atauchukua? Hapo atakuwa amejimaliza kisiasa.

kama Bunge linasema linamtambua kwa sababu CCM haijafanya inachotakiwa kwanini asiuchukue? Mtu akisema ameacha kazi mahali halafu wanaotakiwa kuthibitisha kuwa ameacha kazi hawafanyi hivyo halafu wanatangaza hadharani kuwa bado ni mfanyakazi wao na kumtumia na cheki ya mshahara kwanini asiuchukue wakati legally bado ni mfanyakazi wao hata kama haendi kazini? Hajajimaliza kisiasa atakuwa anathibitisha ni jinsi gani CCM imezidi kuonesha uzembe usio kifani hata katika mambo madogo kama haya. Makamba aandike barua yenye kurasa moja; anaweza kucopy na kupaste hii:

Husika na kichwa cha habari, napenda kukutaarifu kuwa Bw. Fredrick Tungu Mpendazoe aliyekuwa mbunge wa Kishapu kwa kupitia chama chetu kufuatia uchaguzi wa 2005 amepoteza uanachama kwa kuvunja Ibara ya 13:1(e) ya Chama chetu. Napenda kukutaarifu rasmi kuwa Bw. Mpendazoe si mwanachama tena wa Chama cha Mapinduzi. Natumaini ofisi yako itachukua hatua zote muhimu kuakisi ukweli huu mpya.

Ni mimi katika taifa

Yusuph Makamba

and walaaa!! done!
 
I really don't blame ofisi ya Bunge kwa sababu wao wanafuata taratibu tu; Jamaa katangaza kujitoa CCM na kasema kajiunga na chama kingine (CCJ) na anakitumikia; Makamba Katibu Mkuu wa CCM alitakiwa the next day aandike barua kutoa taarifa kwa NEC (election) kuwaambia Mpendazoe amepoteza uanachama.. na Tume inatoa taarifa (pamoja na CCM wenyewe) kwa Bunge kwa sababu chama hakiwezi tu kupeleka barua na kusema fulani kaondoka kwa hiyo aondolewe Ubunge bila kuhusisha tume ya uchaguzi.. Kwa hiyo hapa hakuna kazi yoyote. Naona ni hofu ya watu tu kuionyoshea mkono CCM na kuonesha uzembe wake wa kufanya maamuzi hata yaliyo mepesi kama kukaa chini na kuandika barua.


Yes, Ofisi ya Bunge wanafuata utaratabu. Hatuwezi kuwalaumu.

Hili suala limeonyesha udhaifu wa huu utaratibu...ipo haja ya kuweka idadi ya siku (mfano 7 au 14) ambazo Chama chochote kinatakiwa kitoe taarifa Tume ya Uchaguzi kuhusu kujiondoa/kuondolewa uachama kwa kiongozi/ mgombea yoyote.

Udhaifu huo ndio unaoiwezesha CCM kukaa kimya kwa manufaa ya chama chao.
 
kama Bunge linasema linamtambua kwa sababu CCM haijafanya inachotakiwa kwanini asiuchukue? Mtu akisema ameacha kazi mahali halafu wanaotakiwa kuthibitisha kuwa ameacha kazi hawafanyi hivyo halafu wanatangaza hadharani kuwa bado ni mfanyakazi wao na kumtumia na cheki ya mshahara kwanini asiuchukue wakati legally bado ni mfanyakazi wao hata kama haendi kazini? Hajajimaliza kisiasa atakuwa anathibitisha ni jinsi gani CCM imezidi kuonesha uzembe usio kifani hata katika mambo madogo kama haya. Makamba aandike barua yenye kurasa moja; anaweza kucopy na kupaste hii:



and walaaa!! done!

Heheeee game theory and the prisoners dilemma......
 
Back
Top Bottom