figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,485
- 54,856
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio mgogoro wa kutokuonyesha bunge live. Hao hao ccm hawataki bunge live ili uozo wao usionekane kwa wananchi, hao hao wana ccm wanalalamika kuwa studio ya bunge ndio imemuhujumu kitwanga kwa sauti kubadilishwa. Sasa hawa watu ni kama wamelaaniwa hawajui washike lipi au lipi la kuacha. walifikiri watawahujumu wapinzani kumbe wameanza kujihujumu wenyewe.Wale madiwani wanadai kuna uchakachuaji wa sauti ni kitu ambacho kimepangwa kwa nguvu ya maadui wa kitwanga ambao wamo bungeni na kwingineko hawajakataa hiyo live ya lisaa. Wanalia na ule muda mnaoita dilei ya masafa hapo ndo mafundi wa bunge tv na tbc walipocheza na sauti kwa sababu hakuna daktari aliyethibitisha kuwa mbunge wao alikuwa amelewa. inawezekana ni mshituko wa shutuma ya Lugumi hili ninawaza mimi
Mungu si mwanadam aiseeeHuu ndio mgogoro wa kutokuonyesha bunge live. Hao hao ccm hawataki bunge live ili uozo wao usionekane kwa wananchi, hao hao wana ccm wanalalamika kuwa studio ya bunge ndio imemuhujumu kitwanga kwa sauti kubadilishwa. Sasa hawa watu ni kama wamelaaniwa hawajui washike lipi au lipi la kuacha. walifikiri watawahujumu wapinzani kumbe wameanza kujihujumu wenyewe.
Hakika mkuu cdm ni kiboko ya mafisiem. Ukiweka na kivuli cha lowassa jamaa kama wamevurugwa wakati ata pambano bado.Mungu si mwanadam aiseee
Mkuu CCM wanamuona lowasa km mzuka (ghost) fulan hivi, hakyanani huyu Mzee ni kiboko ya CCMHakika mkuu cdm ni kiboko ya mafisiem. Ukiweka na kivuli cha lowassa jamaa kama wamevurugwa wakati ata pambano bado.
Kordo za lumumba hakukaliki watu wamechanganyikiwa na neno moja tu la lowassa.
Lizaboni na misukule mingine yameweweseka na kushinda huku jukwaani usiku kucha na mchana kutwa kumchafua lowassa kisa tu kasema nitaanza kuzunguka nchi mzima. Mbona wanateseka na kivuli cha lowasaa.?Mkuu CCM wanamuona lowasa km mzuka (ghost) fulan hivi, hakyanani huyu Mzee ni kiboko ya CCM