Ofisi mpya za CUF iwe fundisho kwa CHADEMA mtaa wa ufipa

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
wakuu
imeripotiwa, baada ya kunyang'anywa ofis za chama na Mnyang'anyi Profesa Lipumba kule Buguruni

Maalim seif katibu mkuu wa chama, ameamua kuanzisha ofisi mpya

ofisi mpya hii ya CUF inayopatikana Magomeni iwe ni funzo na chachu ya mabadiliko kwa wanachadema wenye ofisi mtaa wa ufipa isiyoendana na hadhi ya chama kikuu cha upinzani hapa nchini

Maalim kadhihirishia umma na kathubutu katika kuhakikisha anapata ofisi yenye hadhi yake
kuanzia majengo, eneo mpaka samani zote ni hadhi ya kuwa ofisi ya watu wanaotaka kushika madaraka ya nchi!


Hivi chadema pale ufipa mmewekewa kitu gani hadi mshindwe kufikiria ofisi mbali na hapo?
Au ndio mnasubiri Dr Slaa nae aje kuwavamia ka Lipumba ndio akili iwajie mkimbie? kamwe hili halitatokea, jiangalieni upya mtafute ofisi yenye hadhi yenu
 
too bad, kama tumefika mahali tunapa wapinzani wa kweli wanapfaa kuchukua nchi kwa kutumia majengo na fanicha. Yote anayoyapigania Mh Raisi sasa hv yalishasemewa sana na watu wa upinzani wa ukweli, mpaka ilifika mahali ikabidi watoke nje ya bunge kupinga miswada mibovu juu ya rasilimali zetu. Mh rais akiwa waziri muda huo, alibaki bungeni na aliunga mkono hoja,,, as usual.
Anyway, just because some of us are stupid, it doesn't mean we cannot know the names of colours.
 
wakuu
imeripotiwa, baada ya kunyang'anywa ofis za chama na Mnyang'anyi Profesa Lipumba kule Buguruni

Maalim seif katibu mkuu wa chama, ameamua kuanzisha ofisi mpya

ofisi mpya hii ya CUF inayopatikana Magomeni iwe ni funzo na chachu ya mabadiliko kwa wanachadema wenye ofisi mtaa wa ufipa isiyoendana na hadhi ya chama kikuu cha upinzani hapa nchini

Maalim kadhihirishia umma na kathubutu katika kuhakikisha anapata ofisi yenye hadhi yake
kuanzia majengo, eneo mpaka samani zote ni hadhi ya kuwa ofisi ya watu wanaotaka kushika madaraka ya nchi!


Hivi chadema pale ufipa mmewekewa kitu gani hadi mshindwe kufikiria ofisi mbali na hapo?
Au ndio mnasubiri Dr Slaa nae aje kuwavamia ka Lipumba ndio akili iwajie mkimbie? kamwe hili halitatokea, jiangalieni upya mtafute ofisi yenye hadhi yenu
MAALIM SEIF AFUNGUA OFISI YA WABUNGE WA CUF MAGOMENI
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mohamed Said, 2 minutes ago.

Watch Thread

  1. Mohamed SaidVerified User ✅
    #1
    2 minutes ago

    Joined: Nov 2, 2008
    Messages: 9,919

    Likes Received: 4,347

    Trophy Points: 280
    MAALIM SEIF AFUNGUA OFISI YA WABUNGE WA CUF MAGOMENI
    Mohamed Said June 04, 2017 0

    GcQp7rb1p17UfVPhWLyamA8lJFIrCSxnZhosBS-OC3aauq6VfN8ZFihBLPik_q1ucBwMvz6IwuAAl6Dh9FvrYqagm8L-sliDpT-zgPLGZtdlwh9YCb6qQt1l6Ql_dj3FR-ucod_z8i0hMOK0YGN9d5Lhko_1LK3mE5fSO6JwdEFPltwLITeDdCXL3nsnLtJTVqX9hcze36Wb99FtxspIS98wj_OcTHs2WpEt6p7HeLicxDV_mNRwiwQhMBU7yfRFjiaNwHKniTZrG3yHAsumiPCjqQi_m2k1_Ekajn9GYkSQ1U-r2XnvYx-GAXssZjf20jlPssMFrAY_JyaAPvsM5DOQSR6JezpALO6KfrV2Ch0C3SYiwD8HrBDO-WMabmxMVEtl2N6Dz9mUNk_J3Lcyuv8G5tPm-uFUzgYnlCU1TgVvtN_aWzgA_DaOPtSyHAVr8Dk3gSgznpPE9tRhMOesVb4a9NHzO1bMTtFtGqfJZZXnqHrye8WDi_SHfMvc0su31gnexTjDeAcRstOP7WH_XCBpBaa77m07RXzD20naIgr6uHbGnzVWtnNGPytPUzSpwYHwLeF__Djzy_afnw7rhwjxAWsuDtrNmQ-MLhlNnTkLxWyI9A=w354-h629-no

    Maalim Seif Akipandisha Bendera ya CUF katika Ofisi ya Wabunge wa

    CUF Magomeni Kulia kwake ni Mh. Riziki Shahari Kiongozi wa
    Wabunge wa CUF Bungeni
    Z6JfG6YLIFFAqrpxHUS7BwczqVs2OdbBwi2mwlLUo4ySv9AhF5gkGhSbkT8Y9Pp1hP3-54S9yW5L6jAHqbsh1883idPropfbZyNpYBTl8HQhlBEgRDIBR812ujWPY0BENqqGGX4aUeISCJc1pkyAvdHU9U4bzGDuOZiUU5wKxWtE5-AdG_BHiGc_rWKm-iCuN2CiIvSHkJv-TVWzqsxSUx1FV0VjUcBJ0EQ4Fd52axs9g_Wtv-4n7L5dZylh-6bf0aaHfsRwtcMOaSrBFpc0tdsfVcu3VmZbHsNpbZzx4OOyCQ1KqUmIO8865kPS0aeh02iVSBB8tHMkwngdQ4wAgE3CWjw6QdOLbRmceGhtg6XqJpztBuOTO1L0rJIHOtcg2xkm64IkxZSDq8R0wisvI6qbGurK3NqnRD8F91Gtj7KOczUrl-0Plb9XLOzRX7HFyNA8DLizP1buXKgbp0kbpIEEOIBuP6-sUWOJkfN5aQd0PwSeY4jxHgoTNxK3srXSZ9PvFomhU_Zk6r1olj0zMa53Sprne4i22XRfLB0MtFEqD5GCDOkzV5LcEWOOY3mDZHBGlze8JKSDtQFjDaDRAO-f_WoGdZ_3Fupi1E2auEkQhhAtSA=w1080-h607-no

    Maalim Seif akizungumza na Vyombo Vya Habari baada ya ufunguzi wa Ofisi ya Wabunge wa CUF Magomeni

    MIwNzu2qHHpWgynRPnUztVL5ZCcNKzX7E0vDpiOR43eHlmzOH6HvvxaGesfzQjdUh_oM5tITb_nadDDCKqawdYe4eK8ZAJZ6pxNhK-eUXHpbxEVq-RQcEOmqeFgxrIwwOXKY3koXbv6XTYNTeehkcY0OVS7XDUi0w3JjTRHorGfQ_dPpU4I5OQa27GoVhh1v0VIV0Xn0amqT06k-bsEkR3UwpBjCnwsGflW_uA9-hL496nBQxTYE_xgTpLRpEa3Q6Qfxbvx0iBy-66TpxlcZPRQYQx4l4BwyhwfO5LdcTBilgohY4t8w2kvVxq7JkmvP70lJnTN4dViI7_vQFqZXBxloxepl3huU4v-3izVzG2zsk6fOPJD8_2S-Cs7sBrlU2_U8MHr8_qkXyFFswi8DQYvcu2rkNYO6ZXyv24qXuKBw9zILIa4A3ttUsb700JYzY7VJxccKCi3vBrhWA-hVjd6UPi1xISJGBX2EiscoDd4rfl2jN2U-2b0WN-ggvCXHQaE0D8Yy9_VfumSCXBzyn9rGIZ5S6FOihDnpsxPkmgBnZY7tjbQ54wZ6Lb2ze7qgRmYNJawORZCH33ekWjD4iXUFZpqpN666jCPUkLh_7EsCYGMQ0ZI2eQ=w1119-h630-no


    148fYl62KVqIkUlasVzRmPdWqy_n-DeuMWIzBLxz3vEQDdH8IBSAO4wKY2w0XdF5a3N0KpfbfZqv2iFotYQrsK5M27tuiNlpSjwzwGQ5WG0ZRhzXBqseFqNNi80mGjE0AhCgqaDzuU96LKD6RDOS9y1fg9kJD92JLEa9-m9mrSA2s2njpRJMkqQpEtlgeN_6-p0u76x41MSi3UCnKNx3Atq5kq26cbpDSbbq3MamXXry-pkJ0gzZA2hjBRTlL-hzM0IOeV7mbiOBezHUgm8fH2NPrr6SJCowNM2HWPROAs12pPydf8KaGt4vjgMlJ9i7KKPHkdZEg19fmYYWN-8hCTLtzPYGrWG3iQuz8Ci9QUle-LNuuozmDBkWGjwbPv5R3yWx5ak5JThi_bssHmHN-nwFcfrrj-RJe7X3F5yxFSLHZEXpXypibqj6cshELtAzsVGE-z54cD8nIV2NDkDwaxNzljgY6baQxupoxaDctGTCKfaC8Xd_wcTccLvVI7iIXY1Vl1dTdmY42Y45GhfHsr6Eos5_qT6CSa23g-_jAO3QCt7oj4JDjkgbilhqWCm5itAB4XjfVkEhq0vOvGa2uo7eU2zsCZtR2Cu7JGTj-UbTx4BYuw=w1080-h607-no

    Maalim Seif na Viongozi wa CUF waliohudhuria sherehe ya ufunguzi wa Ofisi ya Wabunnge wa CUF Magomeni
 
wakuu
imeripotiwa, baada ya kunyang'anywa ofis za chama na Mnyang'anyi Profesa Lipumba kule Buguruni

Maalim seif katibu mkuu wa chama, ameamua kuanzisha ofisi mpya

ofisi mpya hii ya CUF inayopatikana Magomeni iwe ni funzo na chachu ya mabadiliko kwa wanachadema wenye ofisi mtaa wa ufipa isiyoendana na hadhi ya chama kikuu cha upinzani hapa nchini

Maalim kadhihirishia umma na kathubutu katika kuhakikisha anapata ofisi yenye hadhi yake
kuanzia majengo, eneo mpaka samani zote ni hadhi ya kuwa ofisi ya watu wanaotaka kushika madaraka ya nchi!


Hivi chadema pale ufipa mmewekewa kitu gani hadi mshindwe kufikiria ofisi mbali na hapo?
Au ndio mnasubiri Dr Slaa nae aje kuwavamia ka Lipumba ndio akili iwajie mkimbie? kamwe hili halitatokea, jiangalieni upya mtafute ofisi yenye hadhi yenu
hoja zako dhaifu hazina ushirikiano
 
wakuu
imeripotiwa, baada ya kunyang'anywa ofis za chama na Mnyang'anyi Profesa Lipumba kule Buguruni

Maalim seif katibu mkuu wa chama, ameamua kuanzisha ofisi mpya

ofisi mpya hii ya CUF inayopatikana Magomeni iwe ni funzo na chachu ya mabadiliko kwa wanachadema wenye ofisi mtaa wa ufipa isiyoendana na hadhi ya chama kikuu cha upinzani hapa nchini

Maalim kadhihirishia umma na kathubutu katika kuhakikisha anapata ofisi yenye hadhi yake
kuanzia majengo, eneo mpaka samani zote ni hadhi ya kuwa ofisi ya watu wanaotaka kushika madaraka ya nchi!


Hivi chadema pale ufipa mmewekewa kitu gani hadi mshindwe kufikiria ofisi mbali na hapo?
Au ndio mnasubiri Dr Slaa nae aje kuwavamia ka Lipumba ndio akili iwajie mkimbie? kamwe hili halitatokea, jiangalieni upya mtafute ofisi yenye hadhi yenu
Maalim Seif kabafilika? Si anataka muungano wa mkataba? Awachie Watanganyika wajipange na yeye Waarabu wake wajipange; halafu ndiyo tukae pamoja kama EU tusubiri PEMBEXIT kwiiiiii
 
Hawa Jamaa wa ufipa kwa hakika wanahitaji ofisi yenye hadhi.. Wanatia aibu
...Badala ya kujikita kwenye hoja nzito kama namna ya kubadili mikataba ya madini ili nasi tufaidike na matofali ya dhahabu yetu badala ya kuambulia asilimia 4 tunahangaikia hoja nyepesi.
 
Back
Top Bottom