CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
CCM HAIJAWAHI JENGA OFISI NI ZA UMMA ZILIZOPORWA
Kubadili mikataba?...Badala ya kujikita kwenye hoja nzito kama namna ya kubadili mikataba ya madini ili nasi tufaidike na matofali ya dhahabu yetu badala ya kuambulia asilimia 4 tunahangaikia hoja nyepesi.
Hawa Jamaa wa ufipa kwa hakika wanahitaji ofisi yenye hadhi.. Wanatia aibu
Hizi ndiyo story za wabana pua mkiwa hapo lumumba?Naskia Lissu kaingia mkataba na Accasia apiganie makinikia kwa makubaliano ya kujengewa Ofisi posta
Ubongo wako umegandawakuu
imeripotiwa, baada ya kunyang'anywa ofis za chama na Mnyang'anyi Profesa Lipumba kule Buguruni
Maalim seif katibu mkuu wa chama, ameamua kuanzisha ofisi mpya
ofisi mpya hii ya CUF inayopatikana Magomeni iwe ni funzo na chachu ya mabadiliko kwa wanachadema wenye ofisi mtaa wa ufipa isiyoendana na hadhi ya chama kikuu cha upinzani hapa nchini
Maalim kadhihirishia umma na kathubutu katika kuhakikisha anapata ofisi yenye hadhi yake
kuanzia majengo, eneo mpaka samani zote ni hadhi ya kuwa ofisi ya watu wanaotaka kushika madaraka ya nchi!
Hivi chadema pale ufipa mmewekewa kitu gani hadi mshindwe kufikiria ofisi mbali na hapo?
Au ndio mnasubiri Dr Slaa nae aje kuwavamia ka Lipumba ndio akili iwajie mkimbie? kamwe hili halitatokea, jiangalieni upya mtafute ofisi yenye hadhi yenu
Naskia Lissu kaingia mkataba na Accasia apiganie makinikia kwa makubaliano ya kujengewa Ofisi posta
Kinachotakiwa ni kutoa huduma mzuri kwa watanzania siyo kuwa na jengo zuri,mbona ccm mna majengo mzuri lkn huduma kwa watanzania ni 0?Hawa Jamaa wa ufipa kwa hakika wanahitaji ofisi yenye hadhi.. Wanatia aibu
Hao ndiyo ccmtoo bad, kama tumefika mahali tunapa wapinzani wa kweli wanapfaa kuchukua nchi kwa kutumia majengo na fanicha. Yote anayoyapigania Mh Raisi sasa hv yalishasemewa sana na watu wa upinzani wa ukweli, mpaka ilifika mahali ikabidi watoke nje ya bunge kupinga miswada mibovu juu ya rasilimali zetu. Mh rais akiwa waziri muda huo, alibaki bungeni na aliunga mkono hoja,,, as usual.
Anyway, just because some of us are stupid, it doesn't mean we cannot know the names of colours.
Kama wewe ulivyo hapo bibititi ukipiga mihayo wakati ndugu zako wapo mwandiga wanapiga jembeMwenyekiti yupo na Wema shamba la Bibi
hahaha hayo mtayajua ninyi
Jitahidi angalau kuandika vizuri basiMaalim Seif kabafilika? Si anataka muungano wa mkataba? Awachie Watanganyika wajipange na yeye Waarabu wake wajipange; halafu ndiyo tukae pamoja kama EU tusubiri PEMBEXIT kwiiiiii
Bashite mkubwa weweMwenyekiti yupo na Wema shamba la Bibi
hahaha hayo mtayajua ninyi
Huduma nzuri inaendana na mazingira pia acheni kujitoa akili, unaweza kufunga CT-Scan kwenye nyumba ya udongo?Kinachotakiwa ni kutoa huduma mzuri kwa watanzania siyo kuwa na jengo zuri,mbona ccm mna majengo mzuri lkn huduma kwa watanzania ni 0?