Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 320
- 342
Kwa habari nilizozipata, leo hii 13/11/2020 zinaeleza kwamba Ofisi Kuu za Kanisa la KKKT (DKMS-KKKT) zilizopo Tanga katika wilaya ya Lushoto zinatarajiwa kufunguliwa tena
Ufunguzi huo utafanywa na Askofu Mkuu wa KKKT Dr. Shoo hii ni baada ya maridhiano kati ya Waumini na Uongozi wa Askofu Munga ambao wamekubaliana kwamba muda wa Askofu Munga kuongoza umekwisha kikatiba na mpaka sasa siyo Askofu halali.
Hali hiyo ilipelekea hatua mbalimbali kuchukuliwa na waaumini ikiwemo kufunga ofisi ya Askofu.
Ufunguzi huo utafanywa na Askofu Mkuu wa KKKT Dr. Shoo hii ni baada ya maridhiano kati ya Waumini na Uongozi wa Askofu Munga ambao wamekubaliana kwamba muda wa Askofu Munga kuongoza umekwisha kikatiba na mpaka sasa siyo Askofu halali.
Hali hiyo ilipelekea hatua mbalimbali kuchukuliwa na waaumini ikiwemo kufunga ofisi ya Askofu.