Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,795
Jengo hili lenye uzuri wa asili, halihitaji mkorogo, Wala hata kuoga, Ni jengo nechuro kabisa linapatikana Soko Matola, Mtaa wa Wageni nyumba namba 2, Opposite na Jengo la UMATI.
Wanaisoma nambaDuh, miaka na miaka hawaiboreshi. Wacha tu CCM isipate kura mbeya, maana CCM wenyewe hawaipendi mbeya.
Limekaa kama banda la kitimoto
Jengo hili lenye uzuri wa asili, halihitaji mkorogo, Wala hata kuoga, Ni jengo nechuro kabisa linapatikana Soko Matola, Mtaa wa Wageni nyumba namba 2, Opposite na Jengo la UMATI.
Haha haha haha haha Monster's houseLimekaa kama banda la kitimoto
Linanuka uchuroHaha haha haha haha Monster's house
Mbeya Kuna shida gani? Yaani tangu enzi za Mwalimu Nyerere CCM haiipendi Mbeya, wala yenyewe haipendwi na wana MbeyaLingine CCMView attachment 1612203
Hizo taarifa umezitoa wapi?Mbeya Kuna shida gani? Yaani tangu enzi za Mwalimu Nyerere CCM haiipendi Mbeya, wala yenyewe haipendwi na wana Mbeya
Unamfahamu Pilisya Sikumbula Mwaisyeje?Hizo taarifa umezitoa wapi?
majimbo mengi Mbeya ni CCM kuanzia Kyela, Rungwe yote mashariki na Magharibi, Mbarali, Chunya n.k
Juzi hapa ndio Sugu kachukua kwa Mpesya Mbeya mjini
Ila Mbeya pazuri sana,
Jengo hili lenye uzuri wa asili, halihitaji mkorogo, Wala hata kuoga, Ni jengo nechuro kabisa linapatikana Soko Matola, Mtaa wa Wageni nyumba namba 2, Opposite na Jengo la UMATI.
Kwa kweli simkumbuki,Unamfahamu Pilisya Sikumbula Mwaisyeje?
Barabara zote za Soko Matola ni lami ya kabla ya uhuru. CCM walichofanya ni kuziba viraka tu.Ila Mbeya pazuri sana,
nimeipenda hiyo hali ya hewa naona pametulia sana hilo jengo lipo sehemu yenye utulivu pembeni inaonekana barabara nzuri iliyojengwa na CCM.
Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, 1995 huyu ndiye tulimpa Jimbo la Mbeya Mjini baada ya kuuchoka utawala dhalimu wa CCM.Kwa kweli simkumbuki,
labda unaweza kunipa historia yake nikapata kumbukumbu
Unaonesha unaijua Mbeya vizuri, ila kuhusu barabara umepotosha sababu hizo barabara zimejengwa na serikali hadi maeneo yote ya Ukumbi wa Mikutano wa MkapaBarabara zote za Soko Matola ni lami ya kabla ya uhuru. CCM walichofanya ni kuziba viraka tu.
Kuanzia Mtaa wa Wageni, Tanu, Nonde, Kanisa na Mtaa wa Kiwanja Mpaka na barabara zake zote kuanzia barabara ya Kwanza hadi ya nane kwa Madaraka ni lami ambayo iliwekwa na wakoloni.
Tumeendesha sana maberingi miaka ya mwanzoni mwa 80 kwenye barabara hizo.
USIJARIBU KUENDELEA KUDANGANYA
Inawezekana ikawa ukweli sababu watu wa Mbeya kiasili ni ujasiri, misimamo, hawapendi ubabaishaji na hata elimu wanayo kubwa sana, hivyo walikua sahihi kipindi hicho.Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, 1995 huyu ndiye tulimpa Jimbo la Mbeya Mjini baada ya kuuchoka utawala dhalimu wa CCM.
Mpesya alishinda kwa wizi tu wa kura hakuwa na chochote wala lolote.