Ofisi inapangishwa ipo mikocheni .

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
211
Ina sifa zifuatazo ( ipo mikocheni maeneo ya shoppers plaza )
Vyumba 4 , ambavyo vinamatumizi tofauti mfano
2 ni kwa ajiri ya ofisi
1 flem
1 store na choo
vyumba vyote vina A/C , viti vya kisasa vya kukaria pamoja na meza na shelf.
maji yapo pia kuna tank la lita 1000
compound inatosha kuegesha magari 15 - 20 kwa wakati mmoja
bei 1.5m kwa mwezi .
mawasiliano: 0657 145555 & 0755 099 291

DSC06416.JPG DSC06417.JPG DSC06418.JPG DSC06420.JPG DSC06421.JPG

DSC06422.JPG DSC06423.JPG DSC06425.JPG
 
Flem ndio biashaga gani?
msamehe bure,huyu ni kati ya wale watu wenye matatizo ya R na L....yeye mwenyewe anaitwa Akiri,
Ina sifa zifuatazo ( ipo mikocheni maeneo ya shoppers plaza )
Vyumba 4 , ambavyo vinamatumizi tofauti mfano
2 ni kwa ajiri ya ofisi
1 flem
1 store na choo
vyumba vyote vina A/C , viti vya kisasa vya kukaria pamoja na meza na shelf.*** ila hapa hajasema sherf
maji yapo pia kuna tank la lita 1000 ** na hapa hajasema rita
compound inatosha kuegesha magari 15 - 20 kwa wakati mmoja **na hapo hajasema magali
bei 1.5m kwa mwezi .
 
Last edited by a moderator:
msamehe bure,huyu ni kati ya wale watu wenye matatizo ya R na L....yeye mwenyewe anaitwa Akiri,
Ina sifa zifuatazo ( ipo mikocheni maeneo ya shoppers plaza )
Vyumba 4 , ambavyo vinamatumizi tofauti mfano
2 ni kwa ajiri ya ofisi
1 flem
1 store na choo
vyumba vyote vina A/C , viti vya kisasa vya kukaria pamoja na meza nashelf.*** ila hapa hajasema sherf
maji yapo pia kuna tank la lita 1000 ** na hapa hajasema rita
compound inatosha kuegesha magari 15 - 20 kwa wakati mmoja **na hapo hajasema magali
bei 1.5m kwa mwezi .
nisamehewe kwa kosa lipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom