Ofisa Mtendaji adaiwa kumpa mimba mwanawe

You must log in To download

View in Low /High Quality

Wapoloooooo
Huyu Baba wa kambo Ni mpuuz sana
tapatalk_1578522705314.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa mabinti wa saiz hatari anaenda kulala na mtu umri sawa na babaake kweli aya sasa.mwennye mzigo anaenda jela mzigo anamtunzia mwingine
 
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Ww binti kama hyu hawezi kumtaja huyu mtu makusudi hatakama hatukuko kule lazima mzigo wa jamaa
 
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Kweli kabisa. Tena kama baba mzazi amelivalia njuga probably ni kwa sababu mke wake aliolewa na jamaa. Tusubiri upelelezi ukamilike ndio tuhukumu.
 
Mkuu haya mambo huwa yanashadadiwa na watu wasio na uelewa,Mimi kama mwalimu huwa tunakumbana na mambo kama haya,hii ni pale unapokuwa na msimamo Fulani dheni tuhuma za ngono zinatumika kukudhoofisha
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Hao jamaa ni wanangu sana
Mungu mwema lakwwnza limeisha

Hili nalo litaisha jamaa ni mtu poa sana sijawah ona basi tu jamii zetu nazo shida


Ila nasema jamaa ni mtu mzur sana poa sana sijawah ona Mungu asimame kwa uaminifu jamaa apone katika tule kuku na kuzigongesha glass

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Hata mimi kwa kusoma hiyo habari inaonekana huyu baba wa mzazi ana bifu fulani na huyo mumw mwenzake. Unajua kinachotuponza sisi waafrika ni unafiki. Utakuta watu wanaolaani na kusema afungwe maisha wao huwa wanafanya mambo mabaya tena makubwa kuliko hili. Siyo kwamba natetea kitendo cha kutembea na binti wa kambo hapana kabisa ila sitaki watu watumie hisia kuhukumu.
 
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Kesho njoo center usevya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom