DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,332
- 98,591
Huyu Baba wa kambo Ni mpuuz sanaYou must log in To download
View in Low /High Quality
Wapoloooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Baba wa kambo Ni mpuuz sanaYou must log in To download
View in Low /High Quality
Wapoloooooo
Mwanaume muda mwingine yakupasa ukae home usome bible
Aaah wapi, nina ki-vidmate changu kinadownload automatic bila ku-loginYou must log in To download
View in Low /High Quality
Wapoloooooo
Upande wa other sites 😂😂😂😂Aaah wapi, nina ki-vidmate changu kinadownload automatic bila ku-login
Pamoja na kuharibu fomu kamharibu na mwanafunzi aibuHuyu ni mmoja kati ya maofisa walioitwa ikulu kufundwa namna ya kuharibu form za wagombea wa upinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kaka wa mama mmoja na captainHuyo mtendaji itakuwa ni ndugu yake Gardner
Ww binti kama hyu hawezi kumtaja huyu mtu makusudi hatakama hatukuko kule lazima mzigo wa jamaaHizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Kweli kabisa. Tena kama baba mzazi amelivalia njuga probably ni kwa sababu mke wake aliolewa na jamaa. Tusubiri upelelezi ukamilike ndio tuhukumu.Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Hao jamaa ni wanangu sanaHizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Ni mzur sana aiseee acha afu ni dotoNadhani huyu binti atakuwa na rangi maridadi hivi. Ng'ombe 50 kwa msukuma hazitolewi hivihivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said, na wanasiasa haya ndio matukio ya kuchukulia credit.Mkuu haya mambo huwa yanashadadiwa na watu wasio na uelewa,Mimi kama mwalimu huwa tunakumbana na mambo kama haya,hii ni pale unapokuwa na msimamo Fulani dheni tuhuma za ngono zinatumika kukudhoofisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi kwa kusoma hiyo habari inaonekana huyu baba wa mzazi ana bifu fulani na huyo mumw mwenzake. Unajua kinachotuponza sisi waafrika ni unafiki. Utakuta watu wanaolaani na kusema afungwe maisha wao huwa wanafanya mambo mabaya tena makubwa kuliko hili. Siyo kwamba natetea kitendo cha kutembea na binti wa kambo hapana kabisa ila sitaki watu watumie hisia kuhukumu.Hizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.
Kesho njoo center usevyaHizi habari zikitoka zinavuta hisia za watu sana. Afisa Mtendaji ni mtuhumiwa hajathibitika kutenda kosa ( inasemekana mzazi wa Mtoto haelewani na Mtendaji huyo hivyo amelitumia hili ili kupata Public sympathy, Binti ana mimba lakini hajapewa na huyo jamaa). Mwezi uliopita kwenye hiyohiyo Halmashauri kuna binti alidai amebakwa na Muuguzi wa Kituo cha Afya Mamba,.. Lengo likiwa nikutaka wamalizane ili Muuguzi atoe hela alipokataa yule mama akapiga simu Polisi,. RPC akatangaza kwa Mbwembwe kuwa Muuguzi huyo amekimbilia kusiko julikana ili hali sio kweli Muuguzi hakukimbia. Baraza la Wakunga wameenda wamefanya uchunguzi na kukuta Muuguzi hakuwa na Hatia. Ni Vema tukawa makini sana na hawa Wananchi Matukio ya kuzua dhidi ya Watumishi yamekuwa mengi sana awamu hii.