Yakikukuta,yakabili siyo kujitoa uhai,kujiua ni Dalili za Uoga wa kukabiliana na maisha aliyokupa mungu,ambapo Changamoto ni sehemu ya maishaTulia hayajakukuata
Yakikukuta,yakabili siyo kujitoa uhai,kujiua ni Dalili za Uoga wa kukabiliana na maisha aliyokupa mungu,ambapo Changamoto ni sehemu ya maishaTulia hayajakukuata
Ficha Ukabila wakoChief wewe ni msukuma nini?
Sawa ZuwennaFicha Ukabila wako
Hatar sana!Huyo lazima ni ccm,ccm ndo wanaongoza kwa kujiua,bado lile jamaa la magogoni likiona viwanda hakuna na ndege zote zimegoma kuwaka mtasikia limejiua kwa sumu pia.
Kama haya ndyo mawazo ya vjana basi tunayo safar ndefu sana!,
Yeah ugali na ulimi choma wa pilipili,bia
bila kusahau K ya moto
Hata Mimi nashangaa, jamaa jina la Kihaya lakini anathamini ugali sana!!Chief wewe ni msukuma nini?
Tangu lini Mhaya akapenda ugali? Ila jamaa huyu mjinga sana alikuwa amebakiza miaka miwili na miezi achukue mafao yake sasa ameyaacha! Kwa nafasi yake alikuwa hakosi 200 m! Ujinga ni mzigo!!Hivi watu wanaojiua awaoni utamu wa Ugali.
Hata Mimi nashangaa, jamaa jina la Kihaya lakini anathamini ugali sana!!
Tangu lini Mhaya akapenda ugali? Ila jamaa huyu mjinga sana alikuwa amebakiza miaka miwili na miezi achukue mafao yake sasa ameyaacha! Kwa nafasi yake alikuwa hakosi 200 m! Ujinga ni mzigo!!
TRA hawajatumwa kumfuatilia ajieleze amepata wapi mtaji? Na muda wa kuendesha private practice skiwa mtumishi wa umma? Labda kama naye anamuunga mkono jiwe wampotezee tu. Au haulizi maswali ya kuudhi kwa watawala. Siku wakimchomekea mafao ya ustawi wa jamii ya wafanyakazi wake ndio hapo muziki utausikia. Sijasahau mtu alisema weka bendera ya kijani ili biadhara yako ifanikiweDah 57 akifikilia kinua mgongo hapati picha Na ndio anaelekea kustaafu, Nina Jamaa yangu alikuwa afisa mifugo kigoma yuko kibaha anafuga mingulue ya kisasa hana stress kaajili vijana kumi na 15 akiwemo afsa mifugo anae mlipa million mbili kwa mwezi siku akipandisha kwenye fuso kuja kuchinja utasema hawa ningurue au siafu, kuajiliwa sio dili hayo ndio matokeo yake
Hata wewe siku moja utajiuaHivi watu wanaojiua awaoni utamu wa Ugali.
Alipiga chini Hiyo kaz akaamua kujiajiri sawa yapata miaka sabaTRA hawajatumwa kumfuatilia ajieleze amepata wapi mtaji? Na muda wa kuendesha private practice skiwa mtumishi wa umma? Labda kama naye anamuunga mkono jiwe wampotezee tu. Au haulizi maswali ya kuudhi kwa watawala. Siku wakimchomekea mafao ya ustawi wa jamii ya wafanyakazi wake ndio hapo muziki utausikia. Sijasahau mtu alisema weka bendera ya kijani ili biadhara yako ifanikiwe
Tatizo lililopelekea kujiua halikutajwa kuwa ni ajira au kukosa pesa.Dah 57 akifikilia kinua mgongo hapati picha Na ndio anaelekea kustaafu, Nina Jamaa yangu alikuwa afisa mifugo kigoma yuko kibaha anafuga mingulue ya kisasa hana stress kaajili vijana kumi na 15 akiwemo afsa mifugo anae mlipa million mbili kwa mwezi siku akipandisha kwenye fuso kuja kuchinja utasema hawa ningurue au siafu, kuajiliwa sio dili hayo ndio matokeo yake
Ni kweli its injustice and against human right.Kajiua kikatili sana.
Imeruhusiwa kisheria?Ni kweli its injustice and against human right.
Unaona ulaya wanajiua kwa starehe kama hivi.View attachment 760981
Its legal kwa nchi nyingi za ulaya kujiua siku hizi. Switzerland, Norway e.t.c wazee, wenye terminal and chronic diseases, those who are heavily depressed e.t.cImeruhusiwa kisheria?