Dharau gani ameonesha hapo, au wewe hujui bwana mifugo na katambi ni yupi na yupi?
Asante,wamekosea waliorekodi sauti za huyo mlalamikaji,mlalamikia,katambi na wananchi waliopo hapo.
Pamoja na mapungufu ya mbunge ktk hilo kusikiliza pande zote yupo sahihi kama mbunge na ameahidi jtatu mamlaka husika zitakwenda site.
Najua mbunge so chaguo la wananchi ndio kosa lake.hats mie siungi upatikanaji wa ubunge wake.
 
Asante,wamekosea waliorekodi sauti za huyo mlalamikaji,mlalamikia,katambi na wananchi waliopo hapo.
Pamoja na mapungufu ya mbunge ktk hilo kusikiliza pande zote yupo sahihi kama mbunge na ameahidi jtatu mamlaka husika zitakwenda site.
Najua mbunge so chaguo la wananchi ndio kosa lake.hats mie siungi upatikanaji wa ubunge wake.
Angalia YouTube utaona udhaifu mkubwa wa katambi ameanza kwa kumprovoke mzee Kisha amemtukana uonevu sana
 
OFISA Mifugo Manispaa ya Shinyanga, Velan Mwalukwa, ametiwa mbaroni kwa kumtolea lugha chafu Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, na Ajira.

Mwalukwa, ametiwa Mbaroni jana wakati wa mkutano wa Mbunge Katambi, Kata ya Ibinzamata alipoitwa kujibu tuhuma zinazo mkabili, za kudaiwa kuhozi ardhi ya Mwananchi Zacharia Tingwa mkazi wa kata hiyo, na kutoa lugha zisizo za staha kwa mbunge huyo.

Kabla ya kuanza kujibu tuhuma hizo, Mwalukwa alianza kumtolea lugha chafu na za kumkejeli mbunge huyo, hali ambayo ili mkasilisha Katambi na kuagiza awekwe chini ya ulinzi kwa utovu wa nidhamu, na kisha baadae akachukuliwa na Polisi.

Aidha Katambi akizungumzia tukio hilo, alisema amesikitishwa na mtumishi huyo wa umma, kumdharau Mbunge tena Naibu Waziri mbele ya wananchi, na hivyo kuamua kumchukulia hatua, ili liwe fundisho kwa wengine.

"Huyu mtu anaonekana ana dharau na jeuri, mimi ana nifanyia hivi je Mwananchi wa kawaida, na hasa huyu ambaye ana mgogoro naye, si ndiyo balaa kabisa, hebu ngoja tumtia adabu ili tuone jeuri yake ipo wapi," alisema Katambi.

"Suala hili la Mgogoro baina yake na huyu Mwananchi, nitalivalia njuga Tena bahati nzuri na Mimi ni Mwanasheria, na sita pendelea upande wowote ule, mwenye haki na hilo eneo atapata haki yake," aliongeza.

Katika hatua nyingine Katambi, aliwahidi wananchi wa Ibinzamata kuwa ataendelea kutatua changamoto ambazo zinawakabili, ikiwamo Sekta ya Afya, Elimu, ujenzi wa Barabara, pamoja na kushughulia malipo ya Wastaafu kutoka chama cha ushirika mkoani Shinyanga SHIRECU.

Awali Mwanchi huyo Zacharia Tingwa, akitoa malalamiko yake ya kudhurumiwa ardhi, alidai kuwa eneo hilo ni lake, lakini Ofisa huyo Mifugo amekuwa akitumia Pesa ili amnyang'anye na kufikia hatua ya kuweka familia yake yote rumande na kumtolea vitisho.
Hayo maneno machafu yako wapi ?
 
"Suala hili la Mgogoro baina yake na huyu Mwananchi, nitalivalia njuga Tena bahati nzuri na Mimi ni Mwanasheria, na sita pendelea upande wowote ule, mwenye haki na hilo eneo atapata haki yake," aliongeza.
Kazi ya kutoa haki ni ya mahakama.....
 
Huyu brother mwenye bar pale bondeni lugalo
2025

Siatagombea tena au kaacha siasa MALESE wa watu
 
Katambi kazingua ,hiyo afisa hana kosa ilaaa kafanya Ku mprovoke .mbona hajampa Uhuru na yeye azungumze
 
Afisa mifugo pole sanaaa nimekuelewa ww huna tatizo Ni vile waziri amakuzingua video yako inaonesha waziri hakuwa na nia ya dhati kukupa Uhuru wa kuzungumza
 
Ndugu zangu sikilizeni video,
Huyo bwana mifugo anadharau za wazi sana halafu nijeuri.
Nendeni YouTube mtaelewa
Acha uongo boss afisa mifugo alikuwa submissive sanaaaa ,katambi kazingua kwenye ukweli tuseme jamn sio kuonea watu

Hakutaka kubalance story kwanza kaanza kuongea yeye kuhusu haki sijui nini kabla ya kuacha wote waongee na pia bhna mifugo alikuwa na nia ya dhati kabisa kujibu hoja na kwa heshima kubwa

Mnyonge mnyongeni haki apewee ukiona ile video ndo utajua namanisha nn? Justice to ofisa mifugo pls
 
Acha uongo boss afisa mifugo alikuwa submissive sanaaaa ,katambi kazingua kwenye ukweli tuseme jamn sio kuonea watu

Hakutaka kubalance story kwanza kaanza kuongea yeye kuhusu haki sijui nini kabla ya kuacha wote waongee na pia bhna mifugo alikuwa na nia ya dhati kabisa kujibu hoja na kwa heshima kubwa

Mnyonge mnyongeni haki apewee ukiona ile video ndo utajua namanisha nn? Justice to ofisa mifugo pls
Nimeweka video, Katambi amemuonea afisa mifugo bure
 
Nimeweka video, Katambi amemuonea afisa mifugo bure
Afuu kuna watu wanasema afisa mifugo hana nidhamu ? Ni uongo na upotoshaji mkubwa kijana mdogo kapewe heshima zote sababu ya cheo chake cha mezani afu ana muonea afisa mifugo

Mie CCM kindaki ndaki huu ujinga ndo unafanya vijana wa ccm tuonekane wote waimba mapambio .....MTU alipata kura moja Leo anamnyanyasa MTU bila sababu

Afuu huyu mwandishi nae ni wale wale wa kusapoti ujinga
 
Afuu kuna watu wanasema afisa mifugo hana nidhamu ? Ni uongo na upotoshaji mkubwa kijana mdogo kapewe heshima zote sababu ya cheo chake cha mezani afu ana muonea afisa mifugo

Mie CCM kindaki ndaki huu ujinga ndo unafanya vijana wa ccm tuonekane wote waimba mapambio .....MTU alipata kura moja Leo anamnyanyasa MTU bila sababu

Afuu huyu mwandishi nae ni wale wale wa kusapoti ujinga
Nimechukia sana
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom