Officialtekno amshukuru Diamond kwa kupost kazi zake,wimbo mpya wa tekno-Rara.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Feb 6, 2016
1,193
823
9723cd3e432998d470b7117b6f77a8d8.jpg

Diamond kasupport kwa tekno na tekno naye bila hiyana kashukuru kwa brother wake.
Big up tekno.
494a6b087f0b71e3b655b242e8b19a68.jpg

Welcome tekno to Tanzania.
 
haaaaa alipumzika kuja kushtuka kiti kimeshachukuliwa na simba
Umeona eeeh! Hafu Leo anatumia nguvu nyingi zaidi....wakati alitakiwa akaze toka kipindi hiyo na Leo Diamond angekua anamfata na kumwambia "Broo nafanyaje niweze kupenya soko la International?"
 
Dogo yuko vizuri sana kwenye shooting zake na yeye kwa upande wake yuko juu
Shaking na beat yuko vizuri
Hata akitoa nyimbo kila wiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom