isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
- Thread starter
- #41
Nothing to do with HKL Mimi mwenyewe ni mmoja wa watu nilisoma Art's.
Open your mind buddy!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nothing to do with HKL Mimi mwenyewe ni mmoja wa watu nilisoma Art's.
Shukrani na Hakika! Mambo yalikwenda sawia kama yalivyopangwa.Nimefurahishwa sana! Hongera kiongozi. Nitakufuatilia inshaallah ili nijue hatua unazozielekea kwenye utafiti unaoufanya. Lakini hili litakuwa sambamba kama ukitutumia taarifa kuhusu tafiti unayoendelea nayo.
Mkuu kuna baadhi ya mambo ulituhaidi utayafafanua vizuri baada ya hili tukio. Moja wapo ni kuhusu maendeleo ya Asia na South America na tiba mbalimbali.Shukrani na Hakika! Mambo yalikwenda sawia kama yalivyopangwa.
Kikubwa naanza harakati mpya sasa.
hujaeleza umepataje picha zako unatueleza AERIAL VIEW tunazoona ni CGI!.. Jibu swali umewezaje kupata GROUND PHOTOS za huko unapotuma mawimbi!..Nipo Western Lake, Tanzania. Vifaa ni vile vya amateur astronomers, calibrators na digital artist y scientists.
Kuhusu picha ya planet Vesta nitatumia reference kueleza. Did you know the Earth and Universe you know is CGI? 😮
- Sérgi
exactlyNothing to do with HKL Mimi mwenyewe ni mmoja wa watu nilisoma Art's.
Open your mind buddy!
Safi ndugu maswali yako akijibu hata mimi angalau nitashawishika kuamini au kuelewa anachofanya na aliposema CGI ndio kanichanganya kabisa ina maana katengeneza picha!, ngoja ajibu haya kwanza maana kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya hili.hujaeleza umepataje picha zako unatueleza AERIAL VIEW tunazoona ni CGI!.. Jibu swali umewezaje kupata GROUND PHOTOS za huko unapotuma mawimbi!..
Tumpe muda lakini naona hatatoa jibu.Safi ndugu maswali yako akijibu hata mimi angalau nitashawishika kuamini au kuelewa anachofanya na aliposema CGI ndio kanichanganya kabisa ina maana katengeneza picha!, ngoja ajibu haya kwanza maana kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya hili.
Hichi anachofanya ni marudio.Yalishafanywa zaman....Hakuna sayar inayoitwa vesta...Vesta siyo sayar... Bali ni astroid.........
.....na umewezaje kupata picha za chini???.. za hiyo Vesta................
.......................................
alafu nyie maGT wa humu mnashindwa hata kutumia Google mnajua kuamini tu........
Picha alizoleta hazina tofauti na picha kwenye hii accountSafi ndugu maswali yako akijibu hata mimi angalau nitashawishika kuamini au kuelewa anachofanya na aliposema CGI ndio kanichanganya kabisa ina maana katengeneza picha!, ngoja ajibu haya kwanza maana kuna maswali mengi ya kujiuliza juu ya hili.
Mkoa wa Ziwa MagharibiMaendeleo Hayana Chama Fanya Kazi
Naamini Siku Za Mbele Utakuja Kutuhamisha Wote Hapa Tanzania Tukale Raha Huko. Western Lake Tanganyika
Kigoma Huko Bila Shaka
Really! Kuna thread ya kwanza huu ulikuwa muendelezo.Uwezo wako wa kuwasilisha mada ni sifuri...
Jitahidi katika ili eneo ni muhimu sana kukusaidia katika kupata attention ya watu na pia kuweza kupata connection zaidi kukisaidia katika kazi zako..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow! Now ain't that a bitch?Nipo Western Lake, Tanzania. Vifaa ni vile vya amateur astronomers, calibrators na digital artist y scientists.
Kuhusu picha ya planet Vesta nitatumia reference kueleza. Did you know the Earth and Universe you know is CGI?
- Sérgi
Soon nitawajuza mengi sana.Mkuu kuna baadhi ya mambo ulituhaidi utayafafanua vizuri baada ya hili tukio. Moja wapo ni kuhusu maendeleo ya Asia na South America na tiba mbalimbali.
Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk