Nimeangalia kwenye habari ya itv usiku huu,waziri ngeleja amesema selikali itawalipa dowans hela wanayotudai. Na pia kataja wanashare wa dowans tz ltd na pia majina ya wakurugenzi wa dowans ambao wote ni raia wa nje ya tanzania.
Tujifunge mkanda kukamuliwa ili mafisadi wachukue hela zao
Tujifunge mkanda kukamuliwa ili mafisadi wachukue hela zao