Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,553
- 112,492
Najionea, hii thread yako kama ya 5,nkuhungu napajua vema hiyo bei ni fair ila pesa hakunaNani kakudanganya Evelyn
Najionea, hii thread yako kama ya 5,nkuhungu napajua vema hiyo bei ni fair ila pesa hakunaNani kakudanganya Evelyn
Teh mi nipo usiponiprove nitakukumbushaVery soon i'm gonna prove you wrong Miss Evelyn.Mark my words
Hadi leo hola
Ni kweli siamini kama watu wote hatuna hela,kuna wengine wapo vizuri sana,ukitaka kuamini kwamba wewe ndio hauna hela tembelea mijini uone watu wananunua simu za laki 8 hadi 1.5m,watu wanakula bufee za buku 15 daily,watu wanakunywa bieeree na wanapanga majumba kodi hadi laki 6 kwa mwezi na analipa miezi 6....Kiuchumi ukiona wewe umepigika basi ujue kuna mtu ameneemeka.Si kweli kaka.amini sometime wakati wewe una shida kuna mwingine anatanua
True that.asante mkuu kwa kutukumbushaNi kweli siamini kama watu wote hatuna hela,kuna wengine wapo vizuri sana,ukitaka kuamini kwamba wewe ndio hauna hela tembelea mijini uone watu wananunua simu za laki 8 hadi 1.5m,watu wanakula bufee za buku 15 daily,watu wanakunywa bieeree na wanapanga majumba kodi hadi laki 6 kwa mwezi na analipa miezi 6....Kiuchumi ukiona wewe umepigika basi ujue kuna mtu ameneemeka.
sisemi kama umemuandama ila alipo upo.Steve mi bado nipo
Eve if u still in Dom, just pm me plzSteve mi bado nipo
Ha ha ha hamna mteja Steve ila ukiuza ntumie hata vochaHahahaha!!!Evelyn Jiandae kubadili Avatar mambo yamekwiva