The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,433
- 17,070
Habari wakuu.
Hii ni ofa maalum kwa kina dada.
Nimepewa taarifa na boss wangu kua nitabewa bonus ya 3.6M kwenye mshahara wa mwezi huu kutokana na kufanya kazi vizuri kwa mwaka huu. Sasa hiyo hela nimepanga kuitafuna tu kujipa raha.
Naomba mtoto mzuri ajitokeze aweze kutafuna hivi vijisenti kuanzia ijumaa ya tarehe 22 hadi usiku wa tarehe 26. Siku 4 tu.
Sharti awe mrefu angalau kuanzia 5.5 feet tall, awe na mkia, sio mkubwa sana wala sio mdogo ila mkia ambao ni visual impresive, awe na nyonyo wastani, sura ya kuvutia na awe msafi. Awe mchangamfu na mcheshi. Awe tayari kufanya full blood picture test.
Awe na ngozi ya asili, rangi yoyote, akiwa na short hair itapendeza zaidi maana mimi haya mawigi na manyele ya marehemu wa kizungu hua hayanibariki kabisa,
Kina dada changamkieni hii ofa ya bure kabisa, lakini pia atakua huru kuchagua kiwanja anachokipendelea kutafunia huo mpunga. Sharti la mwisho awe sex active, sio anapigwa goli tatu anasema amechoka.
Karibuni.
Hii ni ofa maalum kwa kina dada.
Nimepewa taarifa na boss wangu kua nitabewa bonus ya 3.6M kwenye mshahara wa mwezi huu kutokana na kufanya kazi vizuri kwa mwaka huu. Sasa hiyo hela nimepanga kuitafuna tu kujipa raha.
Naomba mtoto mzuri ajitokeze aweze kutafuna hivi vijisenti kuanzia ijumaa ya tarehe 22 hadi usiku wa tarehe 26. Siku 4 tu.
Sharti awe mrefu angalau kuanzia 5.5 feet tall, awe na mkia, sio mkubwa sana wala sio mdogo ila mkia ambao ni visual impresive, awe na nyonyo wastani, sura ya kuvutia na awe msafi. Awe mchangamfu na mcheshi. Awe tayari kufanya full blood picture test.
Awe na ngozi ya asili, rangi yoyote, akiwa na short hair itapendeza zaidi maana mimi haya mawigi na manyele ya marehemu wa kizungu hua hayanibariki kabisa,
Kina dada changamkieni hii ofa ya bure kabisa, lakini pia atakua huru kuchagua kiwanja anachokipendelea kutafunia huo mpunga. Sharti la mwisho awe sex active, sio anapigwa goli tatu anasema amechoka.
Karibuni.