Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,451
- 11,200
Unariuzaje mkuu"Njoo nikuuzie riuwanja kama hiro ripo apa vikindu mkuranga."
Unariuzaje mkuu"Njoo nikuuzie riuwanja kama hiro ripo apa vikindu mkuranga."
asante jumatatu nitapeleka maombi...Weee omba tuuuu hata kama hujakamilisha vigezo kupata au kukosa matokeo ya kuthubutu kwako Lakini usiache kuomba
No way peleka tuuuu Mengine yatajitengeneza/utayatengeneza lakini kwanza omba nafasiasante jumatatu nitapeleka maombi...
No way peleka tuuuu Mengine yatajitengeneza/utayatengeneza lakini kwanza omba nafasi
Upo tanga sehem gani .nipo tanga makorora hapaView attachment 1903086KIPENGELE cha tatu hapo kinanihusu mimi ila ebu niambie kiongozi nisafiri kutoka Tanga hadi dodoma kweli kwaajili ya kupeleka maombi.au mimi sijalielewa Tangazo...?
@takukuru @pcccb njooni hukukwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297
Mirioni hzo mkuu mbona Kama huko kirongoni mkuu'mirioni mbiri tu na unusu'
wakija unitag mkuu@takukuru @pcccb njooni huku
nitajitahidi...asante kwa ushauriUnaweza kuonyesha uzalendo wako kuitumikia nchi yako kupitia jeshi la mgambo ambalo halichagui umri wala elimu
Yaan ina maana koplo wa jkt anachukua hela ndefu kuliko afisa wa polisiKuanzia Tsh 250,000 - 1,600,000 kwa mwezi
nipo kwanjeka kakaUpo tanga sehem gani .nipo tanga makorora hapa
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.
najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.
View attachment 1898297kigezo use
hapana hicho sinaKigezo uwe umepita jKT jomba..unacho hicho
mimi ni mtafutaji popote kambia...sasa kama hizo za uarabuni hazijapatikana siruhusiwi kutafuta alternative...?Unahitaji connection ya ajira za uarabuni au kuwa police....?
Au Nyumba hii haiuzwi ogopa matapeli,,,..
Mwenyewe nimejaribu kuwaza, nikajikuta napata majibu kama yako mkuu.Unawapima watu siyo?