Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.

najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.

View attachment 1898297

kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.

najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.

View attachment 1898297
Bado unatafuta KAZI ya Polisi?Unamjua Hamza?
 
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi zaidi ya miaka 12 sijawahi kufanikiwa.

najua humu ndani kuna watu wa aina tofautu tofauti, lengo langu ni kujiunga na jeshi la polisi hivyo kama kuna mtu humu ndani anao uwezo wa kunisaidia nikasajiliwa ndani ya jeshi la polisi...nitampa zawadi ya kiwanja, kiwanja hicho ni mari yangu kabisa, ni kikubwa 70*35....ni matumaini yanu maombi yanu yatamfikia mlengwa.

View attachment 1898297
Haya we jamaa Prince Mhando kazi ni kwako
JamiiForums-1094980910.jpg
 
nashukuru sana ngoja nijaribu bahati yangu
Noamba nikushirikishe hili.

Ukitaka kupata kazi ya upolisi kwa urahisi kwa Sasa jiweke tofauti na wenzio jipe additional value. Maana Hadi Sasa wote mnafanana kwa vyeti Sasa wewe jitofautishe nao... Unafanyaje? Hapa ndio nisikilize uzuri.

Nenda mtandaoni fasta kasome kozi moja inaitwa Cyber security fasta ukimaliza hata ndani ya siku moja wanakupa Cheti unaprint fasta. Unahifadhi kwa Sasa Polisi Wana uahaba mkubwa saana wa watu wa forensic investigator wakiona una Cheti Cha forensic investigator au cyber security hawakuachi.

Nenda mtandaoni jifunze kutumia app ya maltego kufanya investigation ya cyber itakuchukua siku 3 tu kuelewa inavyofanya kazi. Wakitaka demonstrate hiyo kwao. nakuhakikishia hawakuachi na ukimaliza depo unakula kitengo Cha Cyber security pale makao makuu au forensic mshahara laki 9 na posho laki 3 kila tarehe 15.

Hii kozi nzima itakugharimu elfu 50 mtandaoni na Cheti wanakupa.

Kila la kheri! View attachment 1949517
DSC_1119.JPG
 
Au nenda Udemy kajifunze Open source intelligence kwa siku tatu pekee, Polisi hawana Hawa watu kwa Sasa na hawafundishi hiki kitu huko depo kwa Sasa wanataka watu wenye fresh knowledge about Osint kutoka mtaani.

Ukisema tu unacho hicho na una udereva umekula kazi mzawa.
Kazi inabaki kwako kwenda kugangamala depo tu.
 
Au nenda Udemy kajifunze Open source intelligence kwa siku tatu pekee, Polisi hawana Hawa watu kwa Sasa na hawafundishi hiki kitu huko depo kwa Sasa wanataka watu wenye fresh knowledge about Osint kutoka mtaani.

Ukisema tu unacho hicho na una udereva umekula kazi mzawa.
Kazi inabaki kwako kwenda kugangamala depo tu.
udemy ndio wapi ndugu yangu
 
Back
Top Bottom