Mapema tu, sababu unatakiwa kulipwa posho ya utaalamu wa udaktari na posho ya utaalamu wa forensic. Ambayo kwa haraka haraka mshahara unaweza kufika hata million na kilo 7 hivi.Kwahio chief kumbe kwa madaktari unaweza ukishaingia kwenye system ya upolisi kama daktari baadae ukaongeza elimu kwenue mambo ya forensic nayo unakua umeula vilevile
Ukifanikiwa lazima umpe kiwanja chakenashukuru sana ngoja nijaribu bahati yangu
kama akinisaidia nitampa kama nilivyo ahidi...Ukifanikiwa lazima umpe kiwanja chake
Kazi unayo mchawi umekosa connection baba kanituma wanapita tu connection muhimu hata bkama huna vigezo unapita shwaahsijapata msaada bado
Kazi unayo mchawi umekosa connection baba kanituma wanapita tu connection muhimu hata bkama huna vigezo unapita shwaah
Kuna mjuba siku ya interview hatukumuona hasa ile oral ndio hakutokea Kabisa angetokea angeulizwa umepitaje inaonekana vigezo hana Kabisa kwaiyo kichafanyika alikuwa anatokeaga baadhi ya sehem kma mabaara cku ya kupima .ina maana ssi tupo kma vivuli baadae tunakatwa watu wanareplace watu wao*kabisa * mchawi connection hata kama una futi 4 urefu
Kuna mjuba siku ya interview hatukumuona hasa ile oral ndio hakutokea Kabisa angetokea angeulizwa umepitaje inaonekana vigezo hana Kabisa kwaiyo kichafanyika alikuwa anatokeaga baadhi ya sehem kma mabaara cku ya kupima .ina maana ssi tupo kma vivuli baadae tunakatwa watu wanareplace watu wao
Mkuuu ulifanyia kazi ushauri uliyopewa na LaRosa kuhusu kwenda kupiga udemy izi mambo Open Source Intelligence (OSINT),Forensics na Cyber security?wajuba mmenikataa...mdogo wenu....kweli haya maisha hayana usawa...wengine tunahanaika kupata hizi nafasi kuna wengine wametulia tu nyumbani....wala awana shida na awahangaiki na nafasi wanapata
Umeshaambiwa vigezo ndo vitakavyokubeba sasa si umuulize ni vigezo vya aina gani vinavyotakiwakuna mmoja nachat nae kwa meseji ila haingiliki kaka...nimemwambia anisaidie ananiambia vigezo tu ndio vitakavyo nibeba..nielekeze jinsi ya kumpanga labda mimi nakosea...
wajuba mmenikataa...mdogo wenu....kweli haya maisha hayana usawa...wengine tunahanaika kupata hizi nafasi kuna wengine wametulia tu nyumbani....wala awana shida na awahangaiki na nafasi wanapata
kama ipo connection....nisaidie...kuliko niendelee kuteseka kwenye sekta binafsi bora hiyo ya magerezaMagereza utakubali ..?
Home boy muda umekwisha wa PT watu wanasubiri PDF ya majina yaliyokuwa selected kutoka makao makuu jaribu fire uhamiaji na magereza may be bahati itakuwa upande wako pia magereza wameshaanza pigiwa cmu kwa tanga sijui lkn ..kama ipo connection....nisaidie...kuliko niendelee kuteseka kwenye sekta binafsi bora hiyo ya magereza
Kwani wew ni mgambo au upo kampuni gani ya ulinzi mkuukama ipo connection....nisaidie...kuliko niendelee kuteseka kwenye sekta binafsi bora hiyo ya magereza
nipo kampuni moja inaitwa gardaworld...ni ya ulinziKwani wew ni mgambo au upo kampuni gani ya ulinzi mkuu
Karibu makorora hapa tukibadilishana mawazonipo kampuni moja inaitwa gardaworld...ni ya ulinzi