Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,625
Hapa niseme kitu kimoja hivi humu JF kustaafu mwisho miaka mingapi?
Na kama umeshanza kutizama key board kwa mashaka staafu tu kwa hiari yako, bahati nzuri humu JF mnaruhusiwa kurithisha account zenu kwa wana bila hiana, ili uendelee kuwa hai, kama una miaka zaidi ya 30 wewe jiandae tu kuachia jukwaa!
Wazee wenzao wote kina sky eclat, Bujibuji, bibi wa mitandio, Kiranga, zito jr, watu wachawi sana majina yananiponyoka lkn najua wanapo ishi subiri! Enhee! Mzee wa Msata? nani vile! Msukuma mwandishi, nani vile! mayala, katoto kazuri, jogi, mwembekiuno, ulweso, mkuyenge, sallary slip,zero brain mjiandae kurithisha account zenu mimi mtaniwia radhi, wengine ongeza!
Na kama umeshanza kutizama key board kwa mashaka staafu tu kwa hiari yako, bahati nzuri humu JF mnaruhusiwa kurithisha account zenu kwa wana bila hiana, ili uendelee kuwa hai, kama una miaka zaidi ya 30 wewe jiandae tu kuachia jukwaa!
Wazee wenzao wote kina sky eclat, Bujibuji, bibi wa mitandio, Kiranga, zito jr, watu wachawi sana majina yananiponyoka lkn najua wanapo ishi subiri! Enhee! Mzee wa Msata? nani vile! Msukuma mwandishi, nani vile! mayala, katoto kazuri, jogi, mwembekiuno, ulweso, mkuyenge, sallary slip,zero brain mjiandae kurithisha account zenu mimi mtaniwia radhi, wengine ongeza!