Ofa kabambe ya Pasaka;uliwah kunyanyaswa kijinsia,???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
kama wewe ni muhusika wa walioathirka kwa kunynyaswa kijinsia basi
kuna timu ya wanasheria kabambe wamejitolea ofaa maalum mpaka
mwezi wa tano kuwasaidia bureeeeeeeeeeeeeee kwa maoni zaidi

wasiliana na DINA WA clouds FM ama piga

0787/8 29 55 51

wapendwa tangazo hili limerudiwa sana leo cloud kipindi cha dima marious nikaona yawezekana ni mmoja wa wanaoteseka na wale mijiaanaume MAFIOSO...panda angani namba hizo,..pole sana na kila la kheri!!!
 
Nasikia mwanaume hata kama ulilazimishwa ngono huwezi kusema umebakwa...
Mi nilibakwa nikiwa na miaka 12 na mama jirani yetu,
hadi leo nina majeraha akilini.
Inanijia picha jinsi yule mama alivyonilazimisha nimnyonye mpwechelo wake, tena akaniambia nimnyonye hadi topeni...
Kila siku akawa anifuata shuleni na kunipa shilingi hamsini ya noti nyekundu,
sikuwa na mtu wa kumuambia, lakini kwa sababu ya utoto nikawa navumilia huku naumia moyoni.
Nadhani nahitaji zaidi msaada wa mwanasaikolojia kuliko wa mwanasheria kwa kuwa sijui hata kwa kumpata tena huyo mama, maana mambo haya yalitokea miaka mingi nyuma.
 
Nasikia mwanaume hata kama ulilazimishwa ngono huwezi kusema umebakwa...
Mi nilibakwa nikiwa na miaka 12 na mama jirani yetu,
hadi leo nina majeraha akilini.
Inanijia picha jinsi yule mama alivyonilazimisha nimnyonye mpwechelo wake, tena akaniambia nimnyonye hadi topeni...
Kila siku akawa anifuata shuleni na kunipa shilingi hamsini ya noti nyekundu,
sikuwa na mtu wa kumuambia, lakini kwa sababu ya utoto nikawa navumilia huku naumia moyoni.
Nadhani nahitaji zaidi msaada wa mwanasaikolojia kuliko wa mwanasheria kwa kuwa sijui hata kwa kumpata tena huyo mama, maana mambo haya yalitokea miaka mingi nyuma.


Mmmh pole sana Kiranja Mkuu nadhani ni vyema usahau hilo tukio
Utaendelea kuathirika zaidi kisaikolojia kama utaendelea kulifikiria
HUyu mama nadhania na yeye alikuwa na tatizo
 
Nasikia mwanaume hata kama ulilazimishwa ngono huwezi kusema umebakwa...
Mi nilibakwa nikiwa na miaka 12 na mama jirani yetu,
hadi leo nina majeraha akilini.
Inanijia picha jinsi yule mama alivyonilazimisha nimnyonye mpwechelo wake, tena akaniambia nimnyonye hadi topeni...
Kila siku akawa anifuata shuleni na kunipa shilingi hamsini ya noti nyekundu,
sikuwa na mtu wa kumuambia, lakini kwa sababu ya utoto nikawa navumilia huku naumia moyoni.
Nadhani nahitaji zaidi msaada wa mwanasaikolojia kuliko wa mwanasheria kwa kuwa sijui hata kwa kumpata tena huyo mama, maana mambo haya yalitokea miaka mingi nyuma.
Du pole sana Kiranja Mkuu kwa yaliyokukuta, ni kweli inabidi uwapate wanasaikolojia kuliko wanasheria ili kuweza kuondoa tatizo la kiakili ulilopata kutokana na unyama aliokufanyia huyo mama!
 
Nasikia mwanaume hata kama ulilazimishwa ngono huwezi kusema umebakwa...
Mi nilibakwa nikiwa na miaka 12 na mama jirani yetu,
hadi leo nina majeraha akilini.
Inanijia picha jinsi yule mama alivyonilazimisha nimnyonye mpwechelo wake, tena akaniambia nimnyonye hadi topeni...
Kila siku akawa anifuata shuleni na kunipa shilingi hamsini ya noti nyekundu,
sikuwa na mtu wa kumuambia, lakini kwa sababu ya utoto nikawa navumilia huku naumia moyoni.
Nadhani nahitaji zaidi msaada wa mwanasaikolojia kuliko wa mwanasheria kwa kuwa sijui hata kwa kumpata tena huyo mama, maana mambo haya yalitokea miaka mingi nyuma.
Pole sana mkuu,naamini Mungu kakupigania ndio maana upo hapa.zaidi sahau endelea mbele na utakuwa mwl mzuri kwa vijana wasirubuniwe.
 
Na wewe kajeruhi vijana
si wazee wamekujeruhi??
Weight and balance muhimu!!!
 
Nasikia mwanaume hata kama ulilazimishwa ngono huwezi kusema umebakwa...
Mi nilibakwa nikiwa na miaka 12 na mama jirani yetu,
hadi leo nina majeraha akilini.
Inanijia picha jinsi yule mama alivyonilazimisha nimnyonye mpwechelo wake, tena akaniambia nimnyonye hadi topeni...
Kila siku akawa anifuata shuleni na kunipa shilingi hamsini ya noti nyekundu,
sikuwa na mtu wa kumuambia, lakini kwa sababu ya utoto nikawa navumilia huku naumia moyoni.
Nadhani nahitaji zaidi msaada wa mwanasaikolojia kuliko wa mwanasheria kwa kuwa sijui hata kwa kumpata tena huyo mama, maana mambo haya yalitokea miaka mingi nyuma.

wengi wavulana wameathirika kwa kubakwa, kunajisiwa, au kulazmishwa kufanya mapenzi na wanawake waliowazidi umri. Ila dunia hii siku zote mwanaume ndio ana makosa!
 
kama wewe ni muhusika wa walioathirka kwa kunynyaswa kijinsia basi
kuna timu ya wanasheria kabambe wamejitolea ofaa maalum mpaka
mwezi wa tano kuwasaidia bureeeeeeeeeeeeeee kwa maoni zaidi

wasiliana na DINA WA clouds FM ama piga

0787/8 29 55 51

wapendwa tangazo hili limerudiwa sana leo cloud kipindi cha dima marious nikaona yawezekana ni mmoja wa wanaoteseka na wale mijiaanaume MAFIOSO...panda angani namba hizo,..pole sana na kila la kheri!!!
Pole wewe kwa kufanywa mjinga na Dina Marios!!
 
Wengi sana wana matatizo haya lakini hawawezi kwenda, husiulize kwanini?
 
Back
Top Bottom