Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Vp kuhusu Kibacha? A.k.a K-Single?
Marehemu Faza Nelly wa Xplastza na Zomba a.k.a D-Rob?
Adili a.k.a Nigger One?
Kiukweli kwa waliobakia wanaofaaa kuwa MC ni Sugu tu
Heshima mbele mkuu!
Vp kuhusu Kibacha? A.k.a K-Single?
Marehemu Faza Nelly wa Xplastza na Zomba a.k.a D-Rob?
Adili a.k.a Nigger One?
Kiukweli kwa waliobakia wanaofaaa kuwa MC ni Sugu tu
tema mate chini ,mpiga kelele huyo hawezi kuwa mc,bhaaaaaaaaaaaaaaaaaaasiroma namkubali mimi
Vp kuhusu Kibacha? A.k.a K-Single?
Marehemu Faza Nelly wa Xplastza na Zomba a.k.a D-Rob?
Adili a.k.a Nigger One?
Kiukweli kwa waliobakia wanaofaaa kuwa MC ni Sugu tu
hahaha umenichekesha xana but MC Kwa kiswahili anaitwa mcheguaji
Ma E-MCs wa Ukweli wa HipHop:
1.P Da MC
2.Nashy MC
Wengine wanacopy vitabuni.
Mfuatilieni mtu anaitwa chief ramso ambaye kwa sasa anajiita zavara ndo mtajua nani anastahiki kuitwa mc wa bongo,nash emcee anaonekana anaijua hip hop kwa kuwa anapita anapopita zavarra na hata ukisikia nash anavyochana na mitambao utaona kuna mfanano kati yake na zavvara
kwa waliopo kwenye game now anaefaa kuitwa MC ni FID Q peke yake ila tukiongeza na wasiokuepo ndo wenge sana..
Stamina yuko vizu jamaa anamistari ya kuumiza ubongo!!
Nilishawahai muuliza ili swali Geronimo Prat (If I spelled the name right), pale UAACC akabaki hana jibu ila alinipa majina niyape namba mwenyewe
1. Faza Nelly R.I.P
2. Sugu
3. J.C.B Jacob Makala
4. Jay Moe
5. EMP2 Boyoloco
Hao wapange uonavyo. Hao ndio MCs wa sasa. Japo Faza Nelly hatunae lakini daily lazima umsikie, either Rappers wamkumbuke, au uisikie "Nini Haramu" On Air
Ramadhani Mponjika aka Cheef Rhymson aka Zavala uyu ni mwalimu wa Hiphop kwa Tanzania..jamaa anaijua Hiphop na anaiishi bila kujistukia,unajua kuishi Hiphop usifanye nako mchezo..ukimwona na midevu yake na pamba zake unaweza mchukulia poa ila usimpimie ata kidogo jamaa ni wa ukweli haswa,ameishi State na Ukerewe(UK) maisha tofauti tofauti tena sio ya kuungaunga...nilishawai mtembelea home kwake kabisa uko Iringa ana bangaloo lake maeneo ya Gangilonga kuna hadi studio umo ndani na mkewe ni Injinia wa kimataifa ni mjamaika...ana swaga zake flani za kutumia maneno ya kiingereza yasiyo na tafsiri rasmi ya kiswahili ila yeye anayatafutia tafsiri ya kiswahili mfano Mixtape=kandamseto,punchlines=mistarikonde,link=kiunga,rapper=mchanaji nk nk nk...jamaa ni Godfather wa Fid Q,Sterio,One,Philly Techniques,Songa,Niki mbishi,Maalim Nash,Para The Mc na wengi tu..
Back to the topic MC Wa kweli kwa sasa Bongo ni Mr II Sugu.
Nilishawahai muuliza ili swali Geronimo Prat (If I spelled the name right), pale UAACC akabaki hana jibu ila alinipa majina niyape namba mwenyewe
1. Faza Nelly R.I.P
2. Sugu
3. J.C.B Jacob Makala
4. Jay Moe
5. EMP2 Boyoloco
Hao wapange uonavyo. Hao ndio MCs wa sasa. Japo Faza Nelly hatunae lakini daily lazima umsikie, either Rappers wamkumbuke, au uisikie "Nini Haramu" On Air