Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
sasa hivi wamiliki wa IST hawatakiwi kweny vikao vya wanaume...Kwaio mkuu kwenye vikao vya wanaume wamiliki wa IST hautokuwepo.
Wamikiki wa passo sasa wamepanda hadhi
sasa hivi wamiliki wa IST hawatakiwi kweny vikao vya wanaume...Kwaio mkuu kwenye vikao vya wanaume wamiliki wa IST hautokuwepo.
Kusema ukweli sijawahi kuendesha sedan ngumu ya mjapan kama hii
FuseFungua hapo kwenye dash...hako kadisplay huwa kana vimiguu flani hivi vinavyochomekwa kwenye sakiti...huenda vimelegea...chomoa na uchomeke tena...
Fuse
Mkuu acha misifa, gari yenyewe unatumia reserve tank, kaongeze mafuta angalau angalau nusu tank itasomq hizo milage.Hii ninayo tangu 2014 na siiuzi kamwe. Kuendesha hii lazima uwe mwanaume. Kwa mwezi wese si chini ya 400,000. Ila sasa hivi naitumia kama back up
Kwaio mkuu kwenye vikao vya wanaume wamiliki wa IST hautokuwepo.
Wakuu gari yangu GX100 Cresta imefutika mileage kwenye odometer. Leo ndio nimeshtukia mpaka sasa hivi ina 256,000km. Kuna mwenye uzoefu na tatizo hili?View attachment 1115159
Mrejesho:Nimewasha gari Leo asubuhi,readings zimerudi kama kawaida
View attachment 1115882
Mkuu mie kutokana na ubobezi wako kwenye haya masuala nildhani ni kama vile mbuzi kafia uwani kwa muuza supu.
Kwaharaka haraka hapo mkuu cluster hiyo inaweza kuwa na dry joint huo ugonjwa upo sana kwenye suzuki S kubwa /tanapa..cha msingi hapo kama ww sio fundi mtafute fundi umeme atoe hizo dry joint...Wakuu gari yangu GX100 Cresta imefutika mileage kwenye odometer. Leo ndio nimeshtukia mpaka sasa hivi ina 256,000km. Kuna mwenye uzoefu na tatizo hili?View attachment 1115159
Mrejesho:Nimewasha gari Leo asubuhi,readings zimerudi kama kawaida
View attachment 1115882
Hata matumizi yake ya mafuta ni kawaida sana. Hii gari haina tofauti na Noah old model kwenye matumizi ya mafuta.Kusema ukweli sijawahi kuendesha sedan ngumu ya mjapan kama hii
Hiyo mzeebaba ni mkataba,ni gari poa sana sema wabongo wengi tumekariri
View attachment 1115904mafuta yanauhusiano gani na readings hizo?
Sio 36k btw. Hio ni Trip counter A 3631.2km. Unahitaji nikwambie Trip counter maanake nini? Zipo mbili Trip A na Trip B counter then the main mileage counter .Mkuu I thought you said ilikuwa na 256,000km, imekuwaje ODO inasoma 36k? Au ni macho yangu
HuhuhuhKwaio mkuu kwenye vikao vya wanaume wamiliki wa IST hautokuwepo.
Hebu weka kwanza mafuta tuone mkuu . Tank liko empty kabisa 🤣🤣Wakuu gari yangu GX100 Cresta imefutika mileage kwenye odometer. Leo ndio nimeshtukia mpaka sasa hivi ina 256,000km. Kuna mwenye uzoefu na tatizo hili?View attachment 1115159
Mrejesho:Nimewasha gari Leo asubuhi,readings zimerudi kama kawaida
View attachment 1115882