Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta fundi wayaWakuu gari yangu GX100 Cresta imefutika mileage kwenye odometer. Leo ndio nimeshtukia mpaka sasa hivi ina 256,000km. Kuna mwenye uzoefu na tatizo hili?View attachment 1115159
Ha ha ha haya madude yana vituko vingi, vingine na uzoefu wote ni vipya. Hili la kufuta km tu sijawahi kukutana nalo
Hii ninayo tangu 2014 na siiuzi kamwe. Kuendesha hii lazima uwe mwanaume. Kwa mwezi wese si chini ya 400,000. Ila sasa hivi naitumia kama back upIyo gari ilinishindaga 2012 ndio ilikuwa gari yangu kwanza. Nikaisukuma na kuhamia kwenye Allex. Gari inakunywa mafuta Kama ugomvi?
Iyo gari ilinishindaga 2012 ndio ilikuwa gari yangu kwanza. Nikaisukuma na kuhamia kwenye Allex. Gari inakunywa mafuta Kama ugomvi?
Umeelewa nilichomaanisha lkn? Au una hangover za togwa na wkend hiiAlaah,we vp,we ulitaka inywe togwa??
Umeelewa nilichomaanisha lkn? Au una hangover za togwa na wkend hii
Ok. Uwe na ndoto njema bossWe unaonekana hata dem mzuri kama hudah kumuonga milioni utakua kuleta uzi humu kuwa anakufilisi
Ok. Uwe na ndoto njema boss