Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,134
Nashangaa kwa hili tumekua wamoja diiiiihBut do not forget that the same IBEC gave you MPs
Nashangaa kwa hili tumekua wamoja diiiiihBut do not forget that the same IBEC gave you MPs
Toa ulevi wako hapa mbona awamu ya kwanza mliiba? Nasa ushindi mapema tuRaundi hii NASA wanapata kichapo cha ua mbwa! Hehe safari yao sasa itakuwa ya kuipa Canaan kisogo!
Sinywi pombe mimi. Nina kura yangu, we unayo? Tulia huko huko vijiweni, ngoja tumalize kampeni kwanza! Sitapoteza muda wangu kubishana nawe! Soma hukumu ya mahakama afu ukimaliza anza kusoma katiba ya Kenya kila siku kama bibilia. Labda utaelewa tunachofanya, angalau hata kidogo tu. Hii haiwahusu watu wa Chato, inawahusu wakenya pekee yake!Toa ulevi wako hapa mbona awamu ya kwanza mliiba? Nasa ushindi mapema tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo ni signature ya jamaaIvi huwa Mnatumia Makalio sio Vichwa!
Bunge la Tanzania linaingiaje humu
Basi angepeleka shauri mahakamani kuwa Tume pia ibadilishweHataki aliemsaidia Uhuru kuiba asimamie tena Uchaguzi kwa kuwa ataiba tena
Ameshashindwa uchaguzi hata kabla ya uchaguzikaenda kushtaki uchaguzi umefutwa tarehe imetangazwa hataki tena huyu mzee anatafuta balaa huyu
bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
Muingizie mrisho gambo rambi rambi kwenye accnt yake alafu uone kama huo usemi ni valid,
Odinga ana ujinga na ubinafsi mwingi sana.Hiyo tume iko na jina linasema INDEPENDENT sasa ni vipi utaenda kuwashauri au wao kungoja ushauri wako juu ya lini uchaguzi utafanywa ama ni nani atakuwa msimamizi wa huo uchaguzi?
Muingizie mrisho gambo rambi rambi kwenye accnt yake alafu uone kama huo usemi ni valid,