mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Its real terrible,, inadhihirisha polisi walivo wa kukurupuka. huwezi kusema umeanzisha uchunguzi kwa inshu/case ambayo tayari iko mahakamani, ina maana umeipeleka kwa ushahidi upi? nani anamchunguza OCD zuberi,,maofisa toka Makao Makuu ya Polisi? Rpc mwenyewe na Staff Officer wake? Kuna watu wengine independent nje ya JESHI LA POLISI KATIKA UCHUNGUZI HUO? Rpc ahojiwe upya juu ya components za kamati hiyo otherwise tusitegemee chochote tofauti