Mwita25 usibadili ID maana rula unazonyoosha siku hizi siyo za kichina bali from German!!!! Upo sahihi kabisa, ni njia ya kutaka kumuosha kamanda Zuberi.Filing a case is one thing but observation of justice is another important yet difficult thing to happen given bad record of our legal authorities. They probably have to launch an independent committee to investigate into the allegations but not relying on same corrupt organs to expect fairness and justice.
Polisi Mkoa wa Arusha imefungua jalada ya uchunguzi dhidi ya kauli ya kuwaita panya wananchi na wanachama wa Chadema inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha (OCD), Zuberi Mwombeji. Kamanda Mpwapwa amesema sambamba na uchunguzi huo, jalada hilo pia litahusika na uchunguzi wa makosa yanayodaiwa kutendwa na Mbunge wa Arusha, Godbless Lema na watu wengine 18 waliofikishwa mahakamani Jumatatu iliyopita.Kwa sababu mambo yote mawili ya uhalifu unaodaiwa kutendwa na Lema na wenzake pamoja na madai ya OCD kuwaita wananchi mapanya yalitokea sehemu moja na siku hiyohiyo, tutayachunguza kwa pamoja kubaini ukweli na kupata ushahidi ili haki itendeke kwa wote, alisema Kamanda Mpwapwa.Oktoba 28, mwaka huu akiwa eneo la Mahakama Kuu Kanda ya Arusha alikokuwa akikiliza kesi ya kupinga ubunge wa Lema iliyofunguliwa na wapiga kura watatu, OCD Mwombeji anadaiwa kuwaita wananchi wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema mapanya. Akizungumzia madai hayo jana kwa njia ya simu, OCD Mwombeji alikana kutoa kauli hiyo na kusema hizo ni propaganda zinazoenezwa kuhalalisha uhalifu au kutafuta huruma ya umma kwa makosa yaliyotendeka. Sijawahi wala siwezi kumwita mwanadamu mwenzangu panya. Ukiachilia mbali maadili na malezi mema niliyopata kutoka kwa familia yangu, hata wadhifa na cheo changu hakinipi uhalali wa kutoa kauli kama hiyo, ninaomba umma wa Arusha usubiri uchunguzi unaoendelea kwani ukweli utadhihiri, alisema OCD Mwombeji.
chanzo: mwananchi
Uchunguzi unafanywa na nani? ameteuliwa na nani? Natabiri ushindi kwa OCD mwombeji.Polisi Mkoa wa Arusha imefungua jalada ya uchunguzi dhidi ya kauli ya kuwaita panya wananchi na wanachama wa Chadema inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha (OCD), Zuberi Mwombeji. Kamanda Mpwapwa amesema sambamba na uchunguzi huo, jalada hilo pia litahusika na uchunguzi wa makosa yanayodaiwa kutendwa na Mbunge wa Arusha, Godbless Lema na watu wengine 18 waliofikishwa mahakamani Jumatatu iliyopita.Kwa sababu mambo yote mawili ya uhalifu unaodaiwa kutendwa na Lema na wenzake pamoja na madai ya OCD kuwaita wananchi mapanya yalitokea sehemu moja na siku hiyohiyo, tutayachunguza kwa pamoja kubaini ukweli na kupata ushahidi ili haki itendeke kwa wote, alisema Kamanda Mpwapwa.Oktoba 28, mwaka huu akiwa eneo la Mahakama Kuu Kanda ya Arusha alikokuwa akikiliza kesi ya kupinga ubunge wa Lema iliyofunguliwa na wapiga kura watatu, OCD Mwombeji anadaiwa kuwaita wananchi wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema mapanya. Akizungumzia madai hayo jana kwa njia ya simu, OCD Mwombeji alikana kutoa kauli hiyo na kusema hizo ni propaganda zinazoenezwa kuhalalisha uhalifu au kutafuta huruma ya umma kwa makosa yaliyotendeka. Sijawahi wala siwezi kumwita mwanadamu mwenzangu panya. Ukiachilia mbali maadili na malezi mema niliyopata kutoka kwa familia yangu, hata wadhifa na cheo changu hakinipi uhalali wa kutoa kauli kama hiyo, ninaomba umma wa Arusha usubiri uchunguzi unaoendelea kwani ukweli utadhihiri, alisema OCD Mwombeji.
chanzo: mwananchi
Polisi Mkoa wa Arusha imefungua jalada ya uchunguzi dhidi ya kauli ya kuwaita panya wananchi na wanachama wa Chadema inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Arusha (OCD), Zuberi Mwombeji. Kamanda Mpwapwa amesema sambamba na uchunguzi huo, jalada hilo pia litahusika na uchunguzi wa makosa yanayodaiwa kutendwa na Mbunge wa Arusha, Godbless Lema na watu wengine 18 waliofikishwa mahakamani Jumatatu iliyopita.Kwa sababu mambo yote mawili ya uhalifu unaodaiwa kutendwa na Lema na wenzake pamoja na madai ya OCD kuwaita wananchi mapanya yalitokea sehemu moja na siku hiyohiyo, tutayachunguza kwa pamoja kubaini ukweli na kupata ushahidi ili haki itendeke kwa wote, alisema Kamanda Mpwapwa.Oktoba 28, mwaka huu akiwa eneo la Mahakama Kuu Kanda ya Arusha alikokuwa akikiliza kesi ya kupinga ubunge wa Lema iliyofunguliwa na wapiga kura watatu, OCD Mwombeji anadaiwa kuwaita wananchi wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema mapanya. Akizungumzia madai hayo jana kwa njia ya simu, OCD Mwombeji alikana kutoa kauli hiyo na kusema hizo ni propaganda zinazoenezwa kuhalalisha uhalifu au kutafuta huruma ya umma kwa makosa yaliyotendeka. Sijawahi wala siwezi kumwita mwanadamu mwenzangu panya. Ukiachilia mbali maadili na malezi mema niliyopata kutoka kwa familia yangu, hata wadhifa na cheo changu hakinipi uhalali wa kutoa kauli kama hiyo, ninaomba umma wa Arusha usubiri uchunguzi unaoendelea kwani ukweli utadhihiri, alisema OCD Mwombeji.
chanzo: mwananchi
Huu utetezi wa malezi mema kutoka kwa familia naona sasa umekuwa wimbo wa kawaida wa wakurupukaji serikalini na kwingineko.
Kwa hiyo anataka tuamini kuwa Wazazi wa RA walimlea mtoto wao katika mazingira ambayo yangemuandaa aje kuwa fisadi? Au Wazazi wa Zombe walimlea mtoto wao katika mazingira kwamba akikua aje kuwa uwa uwa! Aache upupu wake hapa. Yeye ameshalikoroga angoje sasa kulinywa tu.Huu utetezi wa malezi mema kutoka kwa familia naona sasa umekuwa wimbo wa kawaida wa wakurupukaji serikalini na kwingineko.
asimamishwe kenge na mdomo wake wa siasa za maji taka
polisi wanamchunguza polisi mwenzao hapo kuna haki itatendeka kweli kwanini wasitafute independent entity kuchunguza issue nzima. we need an independent eye to look into it and not someone who has a dog in the fight.