Aisee poleni sana na hayo ni matatizo ya kujitakia ili ku justify mambo yanayo endelea dhidi ya wapinzani.Sisi wenye makampuni ya utalii na mahoteli tumeshaanza kupata cancellations za kutosha.
Hilo wameshalisahau maana hawachelewagi kusahau kama kukuNa wanaye Hamza pia!
Hawawezi kabisa maaana sasa ni 60 yrs bado tupo kwenye lindi la umasikiniCcm hawana uwzo wa kuipelwka nchi kwenye hatua za maendeleo