Kumbe chadema tena bac sawaNaona machadema mnajaribu kuzidi kukuza mambo, baada ya kuona mmeunda njama na kushinda kesi dhidi ya Sabaya mnazidi kutafuta namna bora ya kuvuruga utawala sasa sio? hilo mnalotafuta sasa mmefika mwisho, hamridhiki na hukumu mnazidi kuchokonoa mambo tu
Jambaka baya ashasema alitumwa toka juu na kubwa lamaadui kabisa mbona hamuelewi??Wadau haiingii akili kuona Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya HAI Sabaya Anatenda Vitendo vya uhalifu kwa Wananchi huku Viongozi Wafuatao Wapo na Hawamchukulii hatua zozote.
Viongozi hao ni Pamoja na
OCD wa HAI
AFISA USALAMA wa HAI
AFISA USALAMA MKOA wa MKUU WA MKOA
Nilitarajia Baada ya Sabaya kukiri kutenda uhalifu huo ila kwa kutumwa na mamlaka Watendaji hao Wangechukulia hatua kali kwa kutokumchukulia hatua Sabaya lakini mpaka sasa Wapo HURU Wakati walichangia uhalifu huo kutendeka ili kuthibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa UTAWALA wa SHERIA
Tunaziomba mamlaka husika ziwachukulie hatua wahusika wote
u啦佢啊。unajua job descriptions za hao uliowataja katika manne yao ya kazi ama! Cha kukushauri kusanya pesa ya kumlipa wakili kwa ajili ya appealWadau haiingii akili kuona Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya HAI Sabaya Anatenda Vitendo vya uhalifu kwa Wananchi huku Viongozi Wafuatao Wapo na Hawamchukulii hatua zozote.
Viongozi hao ni Pamoja na
OCD wa HAI
AFISA USALAMA wa HAI
AFISA USALAMA MKOA wa MKUU WA MKOA
Nilitarajia Baada ya Sabaya kukiri kutenda uhalifu huo ila kwa kutumwa na mamlaka Watendaji hao Wangechukulia hatua kali kwa kutokumchukulia hatua Sabaya lakini mpaka sasa Wapo HURU Wakati walichangia uhalifu huo kutendeka ili kuthibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa UTAWALA wa SHERIA
Tunaziomba mamlaka husika ziwachukulie hatua wahusika wote
Tuwe realistic watachukua hatua gani wakati kijana anafanya ujambazi kwa maagizo ya mkuu wa nchi?
Kwa mfumo wetu hapa Tanzania wasingeweza kufanya chochote, RPC alijitahidi kujiweka kando and that is all he could do.
Ndiyo maana majambazi wenzake na Sabaya walikuwa wanatoka Dar, akiwepo Kingai na Mahita, ni wazi kuwa vyombo vya ulinzi na usalama Kilimanjaro havikuwa vinampa ushirikiano kihivyo.
Halafu ati Mbowe gaidi... Wakati Siro ndie analea magaidi kina Sabaya.....Hii kesi imewavua nguo CCM.
Tatizo la AKILI NDOGO sio kila anayemzungumzia Sabaya ni Chadema Ni mwehu tu ndio Hajui Kama Sabaya Kafungwa kwa Kutenda MAOVUNaona machadema mnajaribu kuzidi kukuza mambo, baada ya kuona mmeunda njama na kushinda kesi dhidi ya Sabaya mnazidi kutafuta namna bora ya kuvuruga utawala sasa sio? hilo mnalotafuta sasa mmefika mwisho, hamridhiki na hukumu mnazidi kuchokonoa mambo tu
Kweli huna ujualo hujui kabisa kazi zao bado una Mawazo ys kizamani Maafisa usalama tunakunywa nao Pombe mitaani Wamepanga Nyumba zetuunajua namna afisa usalama mkoa na wilaya wanavyofanya kazi???? ushawahi kuwaona hadharini??? ushawahi kuwaona wakikamata??? ukipata majibu ya haya utajiona mtupu kichwani
Siyo Chadema, WAPENDA HAKI ndio wamefurahia hii hukumu, genge la ujambazi wamesikitika.Naona machadema mnajaribu kuzidi kukuza mambo, baada ya kuona mmeunda njama na kushinda kesi dhidi ya Sabaya mnazidi kutafuta namna bora ya kuvuruga utawala sasa sio? hilo mnalotafuta sasa mmefika mwisho, hamridhiki na hukumu mnazidi kuchokonoa mambo tu
May be at that time OS was above & beyond the existing laws and norms hence they couldn't and were not in a position to do anything but rather let things flow on their own.Wadau haiingii akili kuona Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya HAI Sabaya Anatenda Vitendo vya uhalifu kwa Wananchi huku Viongozi Wafuatao Wapo na Hawamchukulii hatua zozote.
Viongozi hao ni Pamoja na
OCD wa HAI
AFISA USALAMA wa HAI
AFISA USALAMA MKOA wa MKUU WA MKOA
Nilitarajia Baada ya Sabaya kukiri kutenda uhalifu huo ila kwa kutumwa na mamlaka Watendaji hao Wangechukulia hatua kali kwa kutokumchukulia hatua Sabaya lakini mpaka sasa Wapo HURU Wakati walichangia uhalifu huo kutendeka ili kuthibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa UTAWALA wa SHERIA
Tunaziomba mamlaka husika ziwachukulie hatua wahusika wote
Ndugu,Naona machadema mnajaribu kuzidi kukuza mambo, baada ya kuona mmeunda njama na kushinda kesi dhidi ya Sabaya mnazidi kutafuta namna bora ya kuvuruga utawala sasa sio? hilo mnalotafuta sasa mmefika mwisho, hamridhiki na hukumu mnazidi kuchokonoa mambo tu
Kifupi tu ni kwamba wote hao walikuwa wanafanya naye kazi, OCD wa Hai alikuwa anatembea naye kwenye matukio sio kwamba hawakujua walipeana sapporti na ndio waliokuwa wanampa silaha za kutekeleza yote hayaWadau haiingii akili kuona Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya HAI Sabaya Anatenda Vitendo vya uhalifu kwa Wananchi huku Viongozi Wafuatao Wapo na Hawamchukulii hatua zozote.
Viongozi hao ni Pamoja na
OCD wa HAI
AFISA USALAMA wa HAI
AFISA USALAMA MKOA wa MKUU WA MKOA
Nilitarajia Baada ya Sabaya kukiri kutenda uhalifu huo ila kwa kutumwa na mamlaka Watendaji hao Wangechukulia hatua kali kwa kutokumchukulia hatua Sabaya lakini mpaka sasa Wapo HURU Wakati walichangia uhalifu huo kutendeka ili kuthibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa UTAWALA wa SHERIA
Tunaziomba mamlaka husika ziwachukulie hatua wahusika wote
Maagizo ya serikali yanatolewa kwa waraka maalumu . Sasa tutajuaje kama kweli alipewa maagizo au anamsingizia Hayati JPM.?Kwenye utetezi wake alisema alikua akipokea maagizo kutoka juu
Ocd wa hai ameonekana mara nyingi sana akishirikiana na jambazi sabaya kufanya uhalifu wa hapa na pale,kwa hiyo naye alipaswa kuchunguzwaNaona machadema mnajaribu kuzidi kukuza mambo, baada ya kuona mmeunda njama na kushinda kesi dhidi ya Sabaya mnazidi kutafuta namna bora ya kuvuruga utawala sasa sio? hilo mnalotafuta sasa mmefika mwisho, hamridhiki na hukumu mnazidi kuchokonoa mambo tu