Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau haiingii akili kuona Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya HAI Sabaya Anatenda Vitendo vya uhalifu kwa Wananchi huku Viongozi Wafuatao Wapo na Hawamchukulii hatua zozote.
Viongozi hao ni Pamoja na
OCD wa HAI
AFISA USALAMA wa HAI
AFISA USALAMA MKOA wa MKUU WA MKOA
Nilitarajia Baada ya Sabaya kukiri kutenda uhalifu huo ila kwa kutumwa na mamlaka Watendaji hao Wangechukulia hatua kali kwa kutokumchukulia hatua Sabaya lakini mpaka sasa Wapo HURU Wakati walichangia uhalifu huo kutendeka ili kuthibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa UTAWALA wa SHERIA
Tunaziomba mamlaka husika ziwachukulie hatua wahusika wote
Viongozi hao ni Pamoja na
OCD wa HAI
AFISA USALAMA wa HAI
AFISA USALAMA MKOA wa MKUU WA MKOA
Nilitarajia Baada ya Sabaya kukiri kutenda uhalifu huo ila kwa kutumwa na mamlaka Watendaji hao Wangechukulia hatua kali kwa kutokumchukulia hatua Sabaya lakini mpaka sasa Wapo HURU Wakati walichangia uhalifu huo kutendeka ili kuthibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa UTAWALA wa SHERIA
Tunaziomba mamlaka husika ziwachukulie hatua wahusika wote