Occupy Mnazi Mmoja Dar, Bungeni Dodoma, Inakuja TZ Jiandae

Tupo ktk progress. Tunataka nguvu zenu kwa wingi. Tunataka VIJANA ndiyo wachukue uongozi wa nchi.

Note: Hatupo ktk Chama Chochote Cha Kisiasa Nchini.

Tunataka kuanza upya. TZ WAKE UP
tupo pamoja mkuu,zidi kutupa updates na tutakua pamoja ktk kuisave TANZANIA YETU
 
Tunaomba taarifa rasmi mkuu maana sijajua ni kina nani wanaoorganize hiyo occupation na mpango mzima unafanyika wapi? ufafanuzi tafadhali
 
Kila siku mimi huwa natoa maonyo hapa .Hapa ni JF ukija na speed utazimika mapema kama zile kauli mbiu maisha bora kwa kila Mtanzania ,mara Kasi ,ari na sijui kitu gani kipya.Jamani ukija hapa kuwa kweli a great thinker au la soma tu na ukae kimya si mbaya .
 
Tulidhani mmeridhika na maisha yenu duni ambayo the 1% wame-impose on you.Tunawatakia kila la heri.Tanzania awakening?
Mpango maalum unakuja wa KuOccupy Mnazi Mmoja Dar, Dodoma Bungeni unakuja TZ.

Dhumuni:

Vijana tunataka Rushwa iondolewe Serikalini

Ardhi Isiuzwe kwa Wageni

Tofauti kati ya Maskini na Tajiri Ipunguzwe

Na mengi yote



Note: Hatuna Uhusiano na Chama Chochote cha Kisiasa
 
Tunaomba taarifa rasmi mkuu maana sijajua ni kina nani wanaoorganize hiyo occupation na mpango mzima unafanyika wapi? ufafanuzi tafadhali

Occupy haina leader sasa hivi- bali ni VIJANA wenyewe ndiyo watakao kuwa viongozi. TZ WAKE UP
 
Russian..haki kasema ardhi isiuzwe kwa wageni. basi. wewe ndo unasema wageni warudi kwao.
Samahani, nimekosea. Sasa wageni wasipo nunua ardhi itakuaje? na wale wamesha nunua wafanyeje? tunafata utaratibu wa nchi gani ambapo wageni hawaruhusiwi kumiliki ardhi? embu tujuzeni, maana sisi hatujatembea sana...
 
Mpango maalum unakuja wa KuOccupy Mnazi Mmoja Dar, Dodoma Bungeni unakuja TZ.

Dhumuni:

Vijana tunataka Rushwa iondolewe Serikalini

Ardhi Isiuzwe kwa Wageni

Tofauti kati ya Maskini na Tajiri Ipunguzwe

Na mengi yote



Note: Hatuna Uhusiano na Chama Chochote cha Kisiasa
wewe utakuwepo pale?? au ndio yaleyale ya washington??
 
hivi mwarab wa kampuni ya oil com ni mtanzania?nina uhakika si mtanzania.kapewaje maeneo yote hayo ya vituo vya mafuta?
 
Huyu jamaa anapotezea watu malengo. Hakuna maandamano wala nini.
 
The government is aware of the bluff...but they will not take any chance especially with what happened in Malawi... so tread careful.
 
Nadhani ni idea nzuri kama kweli kuna watu wanataka kuiona tanzania iliyo na neema. Nyie wote mnaokejeli na kukatisha tamaa ndo hamna akili. mnadhani kuna kiru kitafanyika kwenye hii nchi bila watu kuamua kujitoa mhanga? Hebu angalieni inflation rate ilivyo juu....miaka 50 ya uhurui bado hakuna umeme hata mijini, maisha magumu na kila aina ya matatizo.. watu mmekaa humu kwenye keyboard mnapiga story na kujiona wapiganaji...wenye uzalendo na nchi..mkipewa action plan mnaanza ooh..sijui kama itatokea...oh maneno tu hamna action...sasa nani afanye action kama si wewe na mimi?

Kwa mleta mada...

Idea ni nzuri na imekuja kwa wakati muafaka tunaposherekea miaka 50 ya uhuru huku nchi ikiwa kwenye hali mbaya ya uchumi esp mfumuko wa bei na pia Dowans saga na umeme pia ila ndugu yangu ni vizuri kama hii iead ingeuzwa kwa watu wa mitaani pia... matangazo yabandikwe usiku kila mahali, kuwe na namna ya habari kumfikia mtu wa kawaida wa mtaani...wengi hapa jf wameridhika na viajira vyao na vijihela wanavyopata,,,na wengine mafisadi vilevile au wanafaidika na mfumo wa kifisadi japo wanajidai kuchonga sana na kujiita wazalendo...ukweli ni kwamba hawako tayari kuingia mtaani not from jf..wanalinda ajira zao na vijimali walivyonavyo kwa hiyo dont wase your time here,,, concentrate na yale makundi ambayo hayana cha kupoteza. Goodluck.
 
Back
Top Bottom