Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Nime observe striking similarities baina ya Marais walio tangulia mbele za haki kwa Tanzania:
1. Wote ni Marais walio toka upande mmoja wa muungano, Tanzania Bara.
2. Wote walikua wasomi zaidi Kuliko walio baki.
3. Wote walikua dini moja, wakristo.
4.Wawili Kati yao walirekebisha uchumi kwa viwango vya juu katika nchi ingawa mmoja alitikisa tunu za taifa hili.
5......
6........
Mungu alaze roho zao panapo stahiki
1. Wote ni Marais walio toka upande mmoja wa muungano, Tanzania Bara.
2. Wote walikua wasomi zaidi Kuliko walio baki.
3. Wote walikua dini moja, wakristo.
4.Wawili Kati yao walirekebisha uchumi kwa viwango vya juu katika nchi ingawa mmoja alitikisa tunu za taifa hili.
5......
6........
Mungu alaze roho zao panapo stahiki