Observation: Mikutano ya Rais vs ya Waziri Mkuu

pepsin

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
3,465
6,109
Mh rais amefanya mikutano mbalimbali,hivyo hivyo PM.Je,ni mikutano ya kiongozi yupi ina sura ya kitaifa zaidi? Ni mikutano ya yupi ambayo wabunge wa upinzani hasa CHADEMA wanaiamini na wanaeleza matatizo ya wananchi wao kama inavyopaswa?
Ni mikutano ya yupi inabeba ukada zaidi?
 
Kuwe na haki, hauwezi kuzuia wenzio kufanya siasa wakati wewe kila siku unazunguka kupiga siasa
 
Mh rais amefanya mikutano mbalimbali,hivyo hivyo PM.Je,ni mikutano ya kiongozi yupi ina sura ya kitaifa zaidi? Ni mikutano ya yupi ambayo wabunge wa upinzani hasa CHADEMA wanaiamini na wanaeleza matatizo ya wananchi wao kama inavyopaswa?
Ni mikutano ya yupi inabeba ukada zaidi?
Naomba kujua labda ukipata jibu litakusaidia nini? Tuanzie hapo kwanza
 
Ya waziri mkuu mh Kassim Majaliwa ina sura ya kitaifa na umoja wa kitaifa hata kauli zake sio tata kama za mkulu
 
Waziri Mkuu mikutano yake ina sura ya kitaifa na akiongea hahamaki kama mwenzie..........
 
mikutano yao mingi inabeba sura ya kitaifa japo ktk hotuba hawawezi kuacha kuzungumzia chama, maana ndicho kilichobeba ilani wanayoitekeleza
 
Kuna mmoja hapo anafanya kazi ya polepole

from Katesh using Siemens C55
 
Huwezi kupose international mbele ya wananchi local.. Hautaweza ku connect na utaonekana kituko.. Ule uloko loko wa mfalme unamsaidia kuelewana na wananchi wa kawaida kabisa.. Hiyo sura ya kitaifa au kimataifa inakusaidia wewe tu.. Cha muhimu ni lugha ambayo wananchi wengi wanaielewa.
 
Mh rais amefanya mikutano mbalimbali,hivyo hivyo PM.Je,ni mikutano ya kiongozi yupi ina sura ya kitaifa zaidi? Ni mikutano ya yupi ambayo wabunge wa upinzani hasa CHADEMA wanaiamini na wanaeleza matatizo ya wananchi wao kama inavyopaswa?
Ni mikutano ya yupi inabeba ukada zaidi?

Utamfanya PM akose ulaji maana ilani na sera ya JPM ni kunyanyasa wapinzani
 
Kwa uhakika kila moja aneona tofauti kubwa. Moja anatenda vitendo vinavyoonuesha kuwa serikali ni ya wote na vyama vyote ni sawa na moja anaongea kuwa serikali ni ya wote lakini anabagua vyama vya upinzani na kutungia uwongo kwamba hawaleti maendeleo wakati anayechukua kodi ni serikali ni ndiyo inayotakiwa kufanya maendeleo yote.
Mkuu ashike role yake sawasawa kama mkuu wa taifa. Full stop.
 
Back
Top Bottom