Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Kwenye mada husika.
Nimebaini watu wengi maskini ndoa zao ziko happy na wanadumu kwenye mahusiano hadi kufa na kuzikana hususani Vijijini.
Ukija kwa wenye kipato cha nafuu hususani mjini wanandoa wanamigogoro isiyoisha na mwisho wa cku ndoa zao hazidumu.
Situkuzi umaskini lakini kwa nini kipato kiwe chanzo cha ndoa kuvuruga?
Nimebaini watu wengi maskini ndoa zao ziko happy na wanadumu kwenye mahusiano hadi kufa na kuzikana hususani Vijijini.
Ukija kwa wenye kipato cha nafuu hususani mjini wanandoa wanamigogoro isiyoisha na mwisho wa cku ndoa zao hazidumu.
Situkuzi umaskini lakini kwa nini kipato kiwe chanzo cha ndoa kuvuruga?