Mtu wa Kwao
JF-Expert Member
- Jan 15, 2008
- 258
- 21
Habari niliyoipata sasa toka kwa chanzo cha habari hii,ni kwamba,rais Mwanawasa ametutoka jamani.Tunajau tulimpenda na hasa wanachi wa Zambia ila Mungu kampenda zaidi.
Last edited by a moderator:
kama huamini subiri jk akiudi aseme mkuu.Maana hata Nyerere alipofariki tulisikia kama hivi na hatukuwa na imani mpka amkapa alipotangaza sasa subir ila wakuu waliopo huko kwenye mkutano Sham El Sheikh tayari wana taarifa hii mkuu.Mkuu Tupatie Chanzo Cha Habari Maana Tumeingia News Room Nyingi Hawana Taarifa Hizo
like MUGABEWatu wanasemaga watu wema hufa mapema and the real bad people live for ever.