Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Juzi tumesikia vyombo vya habari vikiripoti ujio wa Mzee Obasanjo.
Ni uhakika kwamba alikuja kwa ajili ya jambo maalumu ..
Ni kama vile Rostam aziz alipo kuja kushughlikia swala la mdogo wake.
Sasa najiuliza obasanjo alitumwa na nani?
Wafuatao yawezekana walimtuma
1. Dangote
2. Wazungu waliojimilikisha Gas
3. Wazungu ambao wanapinga Rufiji Hydro power
4. Wazungu wenye migodi yao
Obasanjo sio msafi kiasi cha kumshauri magufuli na sio kwamba hajui mapungufu ya Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uhakika kwamba alikuja kwa ajili ya jambo maalumu ..
Ni kama vile Rostam aziz alipo kuja kushughlikia swala la mdogo wake.
Sasa najiuliza obasanjo alitumwa na nani?
Wafuatao yawezekana walimtuma
1. Dangote
2. Wazungu waliojimilikisha Gas
3. Wazungu ambao wanapinga Rufiji Hydro power
4. Wazungu wenye migodi yao
Obasanjo sio msafi kiasi cha kumshauri magufuli na sio kwamba hajui mapungufu ya Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app