bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Dec 7, 2010 #22 naona huyo mtoto wa kwanza anazidi kuwa mkubwa . haiyaa wee .
NGULI JF-Expert Member Mar 31, 2008 4,803 637 Dec 7, 2010 #23 RayB said: Ngoja jamaa arudi kutoka Ubelgiji ataiga hii. Ila yeye itabidi apelekewe muarobaini Click to expand... :teeth::teeth::teeth::teeth:
RayB said: Ngoja jamaa arudi kutoka Ubelgiji ataiga hii. Ila yeye itabidi apelekewe muarobaini Click to expand... :teeth::teeth::teeth::teeth:
Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,342 6,467 Dec 8, 2010 #24 NILHAM RASHED said: mafataki???? Click to expand... Muulize waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais, Mazingira Dr. Therezya Hovisa atakupa jibu!!
NILHAM RASHED said: mafataki???? Click to expand... Muulize waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais, Mazingira Dr. Therezya Hovisa atakupa jibu!!
L Leornado JF-Expert Member Nov 12, 2010 1,529 196 Dec 8, 2010 #25 JK anasubiriwa kugawa mbuzi wa xmas na ndoo za mafuta kwa Yatima na wazee. Si mbaya kwa levo ya bongo. hahahaa:hungry: Nako Ikulu wanachakachua vituo vya kugawa...
JK anasubiriwa kugawa mbuzi wa xmas na ndoo za mafuta kwa Yatima na wazee. Si mbaya kwa levo ya bongo. hahahaa:hungry: Nako Ikulu wanachakachua vituo vya kugawa...
Bambo JF-Expert Member May 18, 2009 238 50 Dec 10, 2010 #28 huyo mama mkwe naye bado yumo!!!kwa sie wazee wenzake..kwi..kwi..