Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Takribuni kwa siku kadhaa sasa huku kwenye JF kulikuwa na mijadala kuhusu suala la Mh Zitto Kabwe kutogombea ubunge mwaka 2010 na pia katika utetezi wake amesema kuwa anataka kujenga chama na kuweza kupata uzoefu katika utawala, na pia kuongoza elimu yake pia.
Lakini kwa watu ambao wana historia na uzoefu katika kuwa na uzoefu wanaweza kusema kuwa rais wa sasa wa Marekani alikuwa na uzoefu gani?? Je Rais Obama alikuwa Seneta kwa muda mfupi sana na hatimaye aliweza kushinda urais wa Taifa kubwa Duniani, na tena hata wale wapinzani waliweza kusema kuwa Obama hana uzoefu na Masuala ya Serikali, Yeye alikuwa Seneta wa Illions tu kwa vipindi viwili tu, Je Bwana Kabwe kusema kuwa anataka uzoefu kutoka wapi?? Je anajua kuwa Tatizo la kuwa na Yaani vyama ni electoral machines? ni kwa sababu ya Katiba ya Nchi na mfumo wa Kisiasa ambao una very centralized na Serikali?
Hapa ni wao kukataa kwa ajili ya kubaki na Katiba ya sasa ambao kuna inavibangua vyama vya siasa, Rejea makala ya Mnyika katika gazeti Nipashe Jumapili.
Sisi wote tunajua kuwa CHADEMA ni Chama Mbadala na pia katika siasa za Tanzania bila ya kuwa katika Mfumo ambao una sauti kama Bunge ni vigumu sana kusikika kama vile alivyokuwa Kabwe, Zitto yeye ni Mbunge na pia kwa hilo amefanya vizuri sana, katika hilo la kuwa vyama vya upinzania havina rasilimali watu ni kwamba, mtu aliwa mbunge yeye tayari ni rasilimali na ni vigumu sana mtu wa kawaida kufanya mambo kama mtu akiwa mbunge na kusaidia chama, kwanza anakuwa na sauti kwa ngazi zote, hapa ni kwasababu ya Katiba ,na sheria zetu kadhaa za Tanzania.
Sasa kama Obama alishinda kwa kutokuwa na uzoefu na leo hii amekuwa rais wa Marekani, Je bwana Kabwe anasemaje kuhusu hili. Hoja yake kwamba anataka kupata uzoefu haina mantiki kwake na kwa Taifa, Sisi wote ni mashaidi wazuri ni M
Lakini kwa watu ambao wana historia na uzoefu katika kuwa na uzoefu wanaweza kusema kuwa rais wa sasa wa Marekani alikuwa na uzoefu gani?? Je Rais Obama alikuwa Seneta kwa muda mfupi sana na hatimaye aliweza kushinda urais wa Taifa kubwa Duniani, na tena hata wale wapinzani waliweza kusema kuwa Obama hana uzoefu na Masuala ya Serikali, Yeye alikuwa Seneta wa Illions tu kwa vipindi viwili tu, Je Bwana Kabwe kusema kuwa anataka uzoefu kutoka wapi?? Je anajua kuwa Tatizo la kuwa na Yaani vyama ni electoral machines? ni kwa sababu ya Katiba ya Nchi na mfumo wa Kisiasa ambao una very centralized na Serikali?
Hapa ni wao kukataa kwa ajili ya kubaki na Katiba ya sasa ambao kuna inavibangua vyama vya siasa, Rejea makala ya Mnyika katika gazeti Nipashe Jumapili.
Sisi wote tunajua kuwa CHADEMA ni Chama Mbadala na pia katika siasa za Tanzania bila ya kuwa katika Mfumo ambao una sauti kama Bunge ni vigumu sana kusikika kama vile alivyokuwa Kabwe, Zitto yeye ni Mbunge na pia kwa hilo amefanya vizuri sana, katika hilo la kuwa vyama vya upinzania havina rasilimali watu ni kwamba, mtu aliwa mbunge yeye tayari ni rasilimali na ni vigumu sana mtu wa kawaida kufanya mambo kama mtu akiwa mbunge na kusaidia chama, kwanza anakuwa na sauti kwa ngazi zote, hapa ni kwasababu ya Katiba ,na sheria zetu kadhaa za Tanzania.
Sasa kama Obama alishinda kwa kutokuwa na uzoefu na leo hii amekuwa rais wa Marekani, Je bwana Kabwe anasemaje kuhusu hili. Hoja yake kwamba anataka kupata uzoefu haina mantiki kwake na kwa Taifa, Sisi wote ni mashaidi wazuri ni M