Obama: Tanzania ni mfano wa kuigwa

SIo hivyo ,unajua nchi za wazungu huwa wanatazama kama hakuna anenyukuliwa akapiga makelele wao wanahesabu kuwa kuna amani na utulivu,sasa ikiwa serikali ya CCM inatupiga na kutuzalilisha halafu tunakaa kimya kama hakuna lolote kwa vipimo vyao wanahesabu kuwa hapo kuna amani na ilivyokuwa Chadema wameibiwa na hawakurusha hata jiwe basi huachwa hivyo hivyo na wala huwasikii kutia na kusema lao ,inakuwa kwao bado ni green hali haijawa mbaya ,hivyo tunahitajika kuifikisha hali iliyopo kwenye orange ili waanze kufanya wasiwasi na ikiwezekana ifike red ,hapo ndipo wataelewa kuwa serikali ilikuwa imejivalisha ngozi ya kondoo.

Mkuu Mwiba, huyu sultani huyu sultani....bana wee acha tu!!
 
Mfano wa kuigwa kwa sababu ni nchi ambayo haipingi chochote inachotakiwa kufanya na Marekani, siyo kwa sababu inafanya chochote cha maana kwa wananchi wake!! Wewe tuamabie wana JF wenzio nini kilichofanywa na tunapaswa kujisifia? Tanzania inategemea misaada karibu asilimia 50 ya bajeti yake, kuna dhahabu, almasi, Ruby, Ulanga, Tanzanite, hata kule kwa Mkapa, acha utalii. Pale Kenya wanahudumia bajeti yao kwa asilimia 80 na wana magadi, watalii wake wote wanakuja Tanzania!!! Amka wewe......
 
Wakuu, tunaomba hiyo research ya Obama iliyomfanya ahitimishe hivyo,otherwise ni utapeli wa kimarekani ili kufikia malengo yao...Marshal plan bado inafanyiwa kazi...hata mnaomuunga mkono hamna kitu hata kimoja kizito cha kusimamia hoja hizo, kama JKM anajitahidi isemwe hivyo lakini si kudanganya kuwa TZ in
'Model" kwa Africa. Tukatae kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Waungaji mkono nisaidie program ya nchi yetu ambayo hata nyinyi inawakonga nyoyo zenu kwa mafanikio yake.
 
Inawezekana ni kweli waafrika wengi hawafikiri... Ni aibu kwa mtanzania wa leo kukomalia sifa zilizotolewa na Mmarekani, kana kwamba yeye ndiye anayaishi maisha ya watz
 
Text of Obama's speech in Ghana
By The Associated Press
Text of President Barack Obama's speech Saturday in Accra, Ghana, as prepared for delivery and provided by the White House:

Good morning. It is an honor for me to be in Accra, and to speak to the representatives of the people of Ghana. I am deeply grateful for the welcome that I've received, as are Michelle, Malia and Sasha Obama.
Ghana's history is rich, the ties between our two countries are strong, and I am proud that this is my first visit to sub-Saharan Africa as President of the United States.
I am speaking to you at the end of a long trip. I began in Russia, for a Summit between two great powers. I traveled to Italy, for a meeting of the world's leading economies. And I have come here, to Ghana, for a simple reason: the 21st century will be shaped by what happens not just in Rome or Moscow or Washington, but by what happens in Accra as well.
This is the simple truth of a time when the boundaries between people are overwhelmed by our connections. Your prosperity can expand America's. Your health and security can contribute to the world's. And the strength of your democracy can help advance human rights for people everywhere.
So I do not see the countries and peoples of Africa as a world apart; I see Africa as a fundamental part of our interconnected world - as partners with America on behalf of the future that we want for all our children. That partnership must be grounded in mutual responsibility, and that is what I want to speak with you about today.
We must start from the simple premise that Africa's future is up to Africans.
I say this knowing full well the tragic past that has sometimes haunted this part of the world. I have the blood of Africa within me, and my family's own story encompasses both the tragedies and triumphs of the larger African story.
My grandfather was a cook for the British in Kenya, and though he was a respected elder in his village, his employers called him "boy" for much of his life. He was on the periphery of Kenya's liberation struggles, but he was still imprisoned briefly during repressive times. In his life, colonialism wasn't simply the creation of unnatural borders or unfair terms of trade - it was something experienced personally, day after day, year after year.
My father grew up herding goats in a tiny village, an impossible distance away from the American universities where he would come to get an education. He came of age at an extraordinary moment of promise for Africa. The struggles of his own father's generation were giving birth to new nations, beginning right here in Ghana. Africans were educating and asserting themselves in new ways. History was on the move.
But despite the progress that has been made - and there has been considerable progress in parts of Africa - we also know that much of that promise has yet to be fulfilled. Countries like Kenya, which had a per capita economy larger than South Korea's when I was born, have been badly outpaced. Disease and conflict have ravaged parts of the African continent. In many places, the hope of my father's generation gave way to cynicism, even despair.
It is easy to point fingers, and to pin the blame for these problems on others. Yes, a colonial map that made little sense bred conflict, and the West has often approached Africa as a patron, rather than a partner.
But the West is not responsible for the destruction of the Zimbabwean economy over the last decade, or wars in which children are enlisted as combatants. In my father's life, it was partly tribalism and patronage in an independent Kenya that for a long stretch derailed his career, and we know that this kind of corruption is a daily fact of life for far too many.
Of course, we also know that is not the whole story. Here in Ghana, you show us a face of Africa that is too often overlooked by a world that sees only tragedy or the need for charity. The people of Ghana have worked hard to put democracy on a firmer footing, with peaceful transfers of power even in the wake of closely contested elections. And with improved governance and an emerging civil society, Ghana's economy has shown impressive rates of growth.
This progress may lack the drama of the 20th century's liberation struggles, but make no mistake: it will ultimately be more significant.
For just as it is important to emerge from the control of another nation, it is even more important to build one's own.
So I believe that this moment is just as promising for Ghana - and for Africa - as the moment when my father came of age and new nations were being born. This is a new moment of promise. Only this time, we have learned that it will not be giants like Nkrumah and Kenyatta who will determine Africa's future. Instead, it will be you - the men and women in Ghana's Parliament, and the people you represent. Above all, it will be the young people - brimming with talent and energy and hope - who can claim the future that so many in my father's generation never found.
To realize that promise, we must first recognize a fundamental truth that you have given life to in Ghana: development depends upon good governance. That is the ingredient which has been missing in far too many places, for far too long. That is the change that can unlock Africa's potential. And that is a responsibility that can only be met by Africans.
As for America and the West, our commitment must be measured by more than just the dollars we spend. I have pledged substantial increases in our foreign assistance, which is in Africa's interest and America's. But the true sign of success is not whether we are a source of aid that helps people scrape by - it is whether we are partners in building the capacity for transformational change.
This mutual responsibility must be the foundation of our partnership.
And today, I will focus on four areas that are critical to the future of Africa and the entire developing world: democracy; opportunity; health; and the peaceful resolution of conflict.
First, we must support strong and sustainable democratic governments.
As I said in Cairo, each nation gives life to democracy in its own way, and in line with its own traditions. But history offers a clear verdict:
governments that respect the will of their own people are more prosperous, more stable and more successful than governments that do not.
This is about more than holding elections - it's also about what happens between them. Repression takes many forms, and too many nations are plagued by problems that condemn their people to poverty. No country is going to create wealth if its leaders exploit the economy to enrich themselves, or police can be bought off by drug traffickers. No business wants to invest in a place where the government skims 20 percent off the top, or the head of the port authority is corrupt. No person wants to live in a society where the rule of law gives way to the rule of brutality and bribery. That is not democracy, that is tyranny, and now is the time for it to end.
In the 21st century, capable, reliable and transparent institutions are the key to success - strong parliaments and honest police forces; independent judges and journalists; a vibrant private sector and civil society. Those are the things that give life to democracy, because that is what matters in peoples' lives.
Time and again, Ghanaians have chosen Constitutional rule over autocracy, and shown a democratic spirit that allows the energy of your people to break through. We see that in leaders who accept defeat graciously, and victors who resist calls to wield power against the opposition. We see that spirit in courageous journalists like Anas Aremeyaw Anas, who risked his life to report the truth. We see it in police like Patience Quaye, who helped prosecute the first human trafficker in Ghana. We see it in the young people who are speaking up against patronage and participating in the political process.
Across Africa, we have seen countless examples of people taking control of their destiny and making change from the bottom up. We saw it in Kenya, where civil society and business came together to help stop postelection violence. We saw it in South Africa, where over three quarters of the country voted in the recent election - the fourth since the end of apartheid. We saw it in Zimbabwe, where the Election Support Network braved brutal repression to stand up for the principle that a person's vote is their sacred right.
Make no mistake: history is on the side of these brave Africans and not with those who use coups or change Constitutions to stay in power.
Africa doesn't need strongmen, it needs strong institutions.
America will not seek to impose any system of government on any other nation - the essential truth of democracy is that each nation determines its own destiny. What we will do is increase assistance for responsible individuals and institutions, with a focus on supporting good governance - on parliaments, which check abuses of power and ensure that opposition voices are heard; on the rule of law, which ensures the equal administration of justice; on civic participation, so that young people get involved; and on concrete solutions to corruption like forensic accounting, automating services, strengthening hot lines and protecting whistle-blowers to advance transparency and accountability.
As we provide this support, I have directed my administration to give greater attention to corruption in our human rights report. People everywhere should have the right to start a business or get an education without paying a bribe. We have a responsibility to support those who act responsibly and to isolate those who don't, and that is exactly what America will do.
This leads directly to our second area of partnership - supporting development that provides opportunity for more people.
With better governance, I have no doubt that Africa holds the promise of a broader base for prosperity. The continent is rich in natural resources. And from cell phone entrepreneurs to small farmers, Africans have shown the capacity and commitment to create their own opportunities. But old habits must also be broken. Dependence on commodities - or on a single export - concentrates wealth in the hands of the few and leaves people too vulnerable to downturns.
In Ghana, for instance, oil brings great opportunities, and you have been responsible in preparing for new revenue. But as so many Ghanaians know, oil cannot simply become the new cocoa. From South Korea to Singapore, history shows that countries thrive when they invest in their people and infrastructure; when they promote multiple export industries, develop a skilled work force and create space for small and medium-sized businesses that create jobs.
As Africans reach for this promise, America will be more responsible in extending our hand. By cutting costs that go to Western consultants and administration, we will put more resources in the hands of those who need it, while training people to do more for themselves. That is why our $3.5 billion food security initiative is focused on new methods and technologies for farmers - not simply sending American producers or goods to Africa. Aid is not an end in itself. The purpose of foreign assistance must be creating the conditions where it is no longer needed.
America can also do more to promote trade and investment. Wealthy nations must open our doors to goods and services from Africa in a meaningful way. And where there is good governance, we can broaden prosperity through public-private partnerships that invest in better roads and electricity; capacity-building that trains people to grow a business; and financial services that reach poor and rural areas. This is also in our own interest - for if people are lifted out of poverty and wealth is created in Africa, new markets will open for our own goods.
One area that holds out both undeniable peril and extraordinary promise is energy. Africa gives off less greenhouse gas than any other part of the world, but it is the most threatened by climate change. A warming planet will spread disease, shrink water resources and deplete crops, creating conditions that produce more famine and conflict. All of us - particularly the developed world - have a responsibility to slow these trends - through mitigation, and by changing the way that we use energy.
But we can also work with Africans to turn this crisis into opportunity.
Together, we can partner on behalf of our planet and prosperity and help countries increase access to power while skipping the dirtier phase of development. Across Africa, there is bountiful wind and solar power; geothermal energy and bio-fuels. From the Rift Valley to the North African deserts; from the Western coast to South Africa's crops - Africa's boundless natural gifts can generate its own power, while exporting profitable, clean energy abroad.
These steps are about more than growth numbers on a balance sheet.
They're about whether a young person with an education can get a job that supports a family; a farmer can transfer their goods to the market; or an entrepreneur with a good idea can start a business. It's about the dignity of work. Its about the opportunity that must exist for Africans in the 21st century.
Just as governance is vital to opportunity, it is also critical to the third area that I will talk about - strengthening public health.
In recent years, enormous progress has been made in parts of Africa. Far more people are living productively with HIV/AIDS, and getting the drugs they need. But too many still die from diseases that shouldn't kill them. When children are being killed because of a mosquito bite, and mothers are dying in childbirth, then we know that more progress must be made.
Yet because of incentives - often provided by donor nations - many African doctors and nurses understandably go overseas, or work for programs that focus on a single disease. This creates gaps in primary care and basic prevention. Meanwhile, individual Africans also have to make responsible choices that prevent the spread of disease, while promoting public health in their communities and countries.
Across Africa, we see examples of people tackling these problems. In Nigeria, an interfaith effort of Christians and Muslims has set an example of cooperation to confront malaria. Here in Ghana and across Africa, we see innovative ideas for filling gaps in care - for instance, through E-Health initiatives that allow doctors in big cities to support those in small towns.
America will support these efforts through a comprehensive, global health strategy. Because in the 21st century, we are called to act by our conscience and our common interest. When a child dies of a preventable illness in Accra, that diminishes us everywhere. And when disease goes unchecked in any corner of the world, we know that it can spread across oceans and continents.
That is why my administration has committed $63 billion to meet these challenges. Building on the strong efforts of President Bush, we will carry forward the fight against HIV/AIDS. We will pursue the goal of ending deaths from malaria and tuberculosis, and eradicating polio. We will fight neglected tropical disease. And we won't confront illnesses in isolation - we will invest in public health systems that promote wellness and focus on the health of mothers and children.
As we partner on behalf of a healthier future, we must also stop the destruction that comes not from illness, but from human beings - and so the final area that I will address is conflict.
Now let me be clear: Africa is not the crude caricature of a continent at war. But for far too many Africans, conflict is a part of life, as constant as the sun. There are wars over land and wars over resources.
And it is still far too easy for those without conscience to manipulate whole communities into fighting among faiths and tribes.
These conflicts are a millstone around Africa's neck. We all have many identities - of tribe and ethnicity; of religion and nationality. But defining oneself in opposition to someone who belongs to a different tribe, or who worships a different prophet, has no place in the 21st century. Africa's diversity should be a source of strength, not a cause for division. We are all God's children. We all share common aspirations - to live in peace and security; to access education and opportunity; to love our families, our communities, and our faith. That is our common humanity.
That is why we must stand up to inhumanity in our midst. It is never justifiable to target innocents in the name of ideology. It is the death sentence of a society to force children to kill in wars. It is the ultimate mark of criminality and cowardice to condemn women to relentless and systematic rape. We must bear witness to the value of every child in Darfur and the dignity of every woman in Congo. No faith or culture should condone the outrages against them. All of us must strive for the peace and security necessary for progress.
Africans are standing up for this future. Here, too, Ghana is helping to point the way forward. Ghanaians should take pride in your contributions to peacekeeping from Congo to Liberia to Lebanon, and in your efforts to resist the scourge of the drug trade. We welcome the steps that are being taken by organizations like the African Union and ECOWAS to better resolve conflicts, keep the peace, and support those in need. And we encourage the vision of a strong, regional security architecture that can bring effective, transnational force to bear when needed.
America has a responsibility to advance this vision, not just with words, but with support that strengthens African capacity. When there is genocide in Darfur or terrorists in Somalia, these are not simply African problems - they are global security challenges, and they demand a global response. That is why we stand ready to partner through diplomacy, technical assistance, and logistical support, and will stand behind efforts to hold war criminals accountable. And let me be clear:
our Africa Command is focused not on establishing a foothold in the continent, but on confronting these common challenges to advance the security of America, Africa and the world.
In Moscow, I spoke of the need for an international system where the universal rights of human beings are respected, and violations of those rights are opposed. That must include a commitment to support those who resolve conflicts peacefully, to sanction and stop those who don't, and to help those who have suffered. But ultimately, it will be vibrant democracies like Botswana and Ghana which roll back the causes of conflict, and advance the frontiers of peace and prosperity.
As I said earlier, Africa's future is up to Africans.
The people of Africa are ready to claim that future. In my country, African-Americans - including so many recent immigrants - have thrived in every sector of society. We have done so despite a difficult past, and we have drawn strength from our African heritage. With strong institutions and a strong will, I know that Africans can live their dreams in Nairobi and Lagos; in Kigali and Kinshasa; in Harare and right here in Accra.
Fifty-two years ago, the eyes of the world were on Ghana. And a young preacher named Martin Luther King traveled here, to Accra, to watch the Union Jack come down and the Ghanaian flag go up. This was before the march on Washington or the success of the civil rights movement in my country. Dr. King was asked how he felt while watching the birth of a nation. And he said: "It renews my conviction in the ultimate triumph of justice."
Now, that triumph must be won once more, and it must be won by you. And I am particularly speaking to the young people. In places like Ghana, you make up over half of the population. Here is what you must know: the world will be what you make of it.
You have the power to hold your leaders accountable and to build institutions that serve the people. You can serve in your communities and harness your energy and education to create new wealth and build new connections to the world. You can conquer disease, end conflicts and make change from the bottom up. You can do that. Yes you can. Because in this moment, history is on the move.
But these things can only be done if you take responsibility for your future. It won't be easy. It will take time and effort. There will be suffering and setbacks. But I can promise you this: America will be with you. As a partner. As a friend. Opportunity won't come from any other place, though - it must come from the decisions that you make, the things that you do, and the hope that you hold in your hearts.
Freedom is your inheritance. Now, it is your responsibility to build upon freedom's foundation. And if you do, we will look back years from now to places like Accra and say that this was the time when the promise was realized - this was the moment when prosperity was forged; pain was overcome; and a new era of progress began. This can be the time when we witness the triumph of justice once more. Thank you.
 
ama kweli kitanda usokilalia huwajui kunguni wake!
angejua huo moto unaofukuta chini chini sasa tanzania asingesema hayo ......
Ndo hapo sasa. Tuendelee kuvimba vichwa na sifa za Obama na kujiridhisha na 30% ya budget kuishia mifukoni mwa viongozi wa serikali kwa rushwa.Nabii wa aina hii kwamwe hatatambuliwa kwao.
 
Obama anatutania wadangayika! nia yake ni kutaka tu majirani zetu wajitahidi waondoe tofauti za kikabila na kisiasa tu, yaani anatupa treatment ya mzazi anayejaribu kumuasa mwanaye mmoja abadilike afanane na mwenzie. Sijambo la kuamini kuwa hawafahamu mapungufu yetu. Kama tungelikuwa mfano wowote basi angelitembelea Tz kwanza au zote mbili, Ghana na Tz.
Wanajua fika uozo wa demokrasia yetu, ambayo chama kimoja kinaogopa kuachia madaraka maana kitaumbuka. Kila kiongozi anajaribu kukisafisha lakini mara anafika mahali anakuta kinanuka mno anaacha kabisa hata kuzungumzia uchafu aliouona licha ya kusitisha usafishaji wake. Mr Clean alipoingia alianza hivyo hivyo, tukapata imani alipo-declare mali zake, alipotoka akaacha uchafu mkubwa zaidi. Kwani hawayafahamu hayo? mpaka waseme ni nchi ya kuigwa? Nani ataiga nchi yenye kutegemea karibu nusu ya bajeti yake kuchangiwa kila mwaka na wafadhili wakati nchi imejaa raslimali tele! nchi isiyojali wataalmu wake wakiacha fani zao na kuwa wanasiasa, wengine kukimbia nchi za nje, tena wengi, tena kwenda nchi jirani. Ni nchi gani itakayoiga nchi yenye kuruhusu wanasiasa feki wa nje kuendesha mambo nyeti ya serikali kiasi hata kuingilia uteuzi wa mawaziri, nchi gani itaiga nchi iliyopata uhuru miaka karibu 50 sasa wananchi wake wanasehemu bado wanabaguliwa kiwazi wazi, hata kuna mashule ambayo watoto wao hawawezi kuingia au wakiingia wanabaguliwa na waalimu wa kigeni mpaka leo? Hiyo itakayoiga itakuwa imekosa wa kuiga? Labda kama alivyosema mtoa mada hapo juu kuwa tunalinganishwa na Somalia, Sudan, Congo nk. Lakini tuendelee kuwa mashahidi, hata hao tuliowataja tutajikuta tuko nyuma yao kipindi kifupi tu kijacho. Hata majirani zetu kuna wakati tulikuwa tunajiona tuko mbele, sasa hivi uchumi wao ni imara sana. Bajeti yao haihitaji michango ya kimataifa.
 
RAIS wa Marekani, Barack Obama, ameisifu Tanzania kuwa ni mfano wa kuigwa katika Bara la Afrika kwa kuwa na uongozi unaojali na kusaidia maendeleo ya watu wake. Obama amesema uongozi wa Tanzania umeonesha mfano kwa nia ya dhati ya kuwasaidia wananchi kwa kuboresha huduma muhimu za kijamii.

Rais huyo ambaye kesho anaanza ziara yake ya kwanza Afrika tangu kuchaguliwa kwake kuwa Rais akianzia Ghana, alisema jana kuwa kila atakakopita ataziambia nchi hizo za Afrika ziige mfano wa Tanzania. Katika mahojiano aliyofanya na waandishi wa tovuti ya All Africa, alisema nchi hiyo haitasita kuziunga mkono nchi zinazoonesha nia thabiti ya kuwainua watu wake.

Obama ambaye aliulizwa kama kuna nchi muhimu ambazo anazipa kipaumbele katika safari zake za kutembelea Afrika, alisema nchi zote ni muhimu lakini ujumbe atakaopeleka kwa kila nchi ni kuiga mfano wa Tanzania. “Msisahau, kwamba pamoja na kwamba ninatembelea Ghana, Waziri Mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai na Rais Jakaya Kikwete wameshatembelea Ikulu ya Marekani.

“Bila shaka mmeona kazi nzuri iliyofanywa na uongozi wa Tanzania ya kuelekeza nguvu zake katika kutoa huduma kwa wananchi wake, na popote marafiki wanapotaka kujikwamua wenyewe, tutakuwa nyuma yao kama washirika,” alisema Obama.

Alisema anaamini Afrika ina uongozi mzuri ambao unataka kwenda mbele na Marekani inataka kwenda pamoja na Bara la Afrika katika juhudi zake za kujikwamua. Rais huyo alisema ushirika anaohitaji na Afrika si tu wa kutoa misaada bali wa kufungua fursa bora zaidi za kiuchumi kati ya Marekani na Bara hilo. “Hii ina maana ni pamoja na kuimarisha uwezo wa ndani ya nchi wa kujiendeleza na kuimarisha uhusiano baina ya Marekani na nchi moja moja,” alisema Obama.

.................................................................................................

HIVI SIFA HIZI NI SAHIHI AU NI KILEMBA CHA UKOKA?
 
Tanzania inastahili sifa ukilinganisha na mataifa mengi ya Afrika na wasio ona kwamba bongo inapiga hatua ni mtazamo wao ambao pia unakubalika. Nimezunguka nchi jirani karibu zote zinazopakana na TZ, Bongo iko juu wana. Acheni na wengine watumie vigezo tofauti na vyenu kupima utendaji.

Tofauti ni kwamba remarks ya Obama inakubalika zaidi kuliko hii mitazamo hasi ya humu jamvini, binafsi sina trust na wachangiaji wengi humu kwamba wanafata zaidi mkumbo na kulazimisha watu wote wawe na mitazamo yao.

Obama yuko sahihi sababu analinganisha bongo na nchi nyingine za afrika na pia analinganisha bongo ya sasa na kipindi kilichopita. Kauli ya Obama si ya kubeza vyovyote vile Wabongo tatizo roho za korosho tu, si Obama huyu mliempamba kwa nyimbo na mapambio kwamba jamaa kichwa hata mwaka bado leo kumpa tano JK mnaaanza kuquestion intelligency yake. Salut!
 
Tanzania inastahili sifa ukilinganisha na mataifa mengi ya Afrika na wasio ona kwamba bongo inapiga hatua ni mtazamo wao ambao pia unakubalika. Nimezunguka nchi jirani karibu zote zinazopakana na TZ, Bongo iko juu wana. Acheni na wengine watumie vigezo tofauti na vyenu kupima utendaji.

Tofauti ni kwamba remarks ya Obama inakubalika zaidi kuliko hii mitazamo hasi ya humu jamvini, binafsi sina trust na wachangiaji wengi humu kwamba wanafata zaidi mkumbo na kulazimisha watu wote wawe na mitazamo yao.

Obama yuko sahihi sababu analinganisha bongo na nchi nyingine za afrika na pia analinganisha bongo ya sasa na kipindi kilichopita. Kauli ya Obama si ya kubeza vyovyote vile Wabongo tatizo roho za korosho tu, si Obama huyu mliempamba kwa nyimbo na mapambio kwamba jamaa kichwa hata mwaka bado leo kumpa tano JK mnaaanza kuquestion intelligency yake. Salut!

Hivi ni yapi hayo yasiyokuwa na majina?!
 
Hivi ni yapi hayo yasiyokuwa na majina?!

Mkuu ukitaka mfano nenda kaanzishe biashara ya daladala Kenya ama nenda kaishi tu huko ukodi ka nyumba kazuri kwa miezi miwili tu ,utaona tu nini Obama anakisema
 
Mkuu ukitaka mfano nenda kaanzishe biashara ya daladala Kenya ama nenda kaishi tu huko ukodi ka nyumba kazuri kwa miezi miwili tu ,utaona tu nini Obama anakisema

Mkuu usiongee kwa mafumbo,tufumbulie na sisi wengine tusio weza kufumbua.
 
Mkuu usiongee kwa mafumbo,tufumbulie na sisi wengine tusio weza kufumbua.

Mkuu wangu sio fumbo ni hali halisi tu maana nikiongea kwa theorywatu wataka vithibitisho vizuri ni kutest practically mwenyewe.
 
Mkuu ukitaka mfano nenda kaanzishe biashara ya daladala Kenya ama nenda kaishi tu huko ukodi ka nyumba kazuri kwa miezi miwili tu ,utaona tu nini Obama anakisema

Kwa hiyo Kenya iige Tanzania kwenye biashara na mambo ya nyumba nzuri za kukodi?!
 
Kwa hiyo Kenya iige Tanzania kwenye biashara na mambo ya nyumba nzuri za kukodi?!

Hapana nafikiri kenya ina nyumba nzuri kuliko Tz, lakini mambo obama anayoyaongelea kuhusu TZ ni mambo ya msingi zaidi na tofauti kabisa
 
Hapana nafikiri kenya ina nyumba nzuri kuliko Tz, lakini mambo obama anayoyaongelea kuhusu TZ ni mambo ya msingi zaidi na tofauti kabisa

MkamaP, mkuu utakubaliana nami kuwa tuko hapa ili tujenge logic, za utendaji na hata hizi za kusifiwa. Sasa naomba ni kuulize, je wewe unafikiri ni mambo yapi hayo Mr. Obama anaasa nchi nyingine ziige mfano kutoka hapa Tanzania? Na kwa vile umeanza kwa kuitaja Kenya, itakuwa vyema kama utaendeleza kwa mfano huo huo ukipenda.
 
Kwa nini asiseme nchi yake ya kuzaliwa ya Kenya ambayo iko juu kiuchumi na kihuduma kuliko sisi?
Wale kwanza shule ni bure kabisa sisi tunalipa.
Hospitali ndio usiseme hadi viongozi wetu wengine wanakimbizwa huko.
Lakini mimi sishangai maana hawa wamarekani wanasifia mahali wanapodhani watapata maslahi. Si ajabu kapewa ahadi ya mgodi hapo.
Masatu umesikia?
Sisi si wamarekani wala hatusubiri wamarekani kuja kuwa kipimo cha maendeleo mfu yetu. Sisi waliwanchi ndio hasa kipimo chenyewe. Tunapima wenyewe Sisi hasa tunaoishi danganyika hii na si watanzania mlioamua kuishi ulaya au kuila nchi. Pole kama mnadhani Obama atakuwa mpima mafanikio yetu.
niko na wewe mkuu ukurasa mmoja.It is so akward for people of this conutry to think that someone from outseide will came and tell the good thinks of their own country..we are the citizen of this country and we are the one that we feel what the govt is doing and not doing.By the way mimi miaka minne ya JK madarakani naona hakuna kitu substantial kilichofanyika ni blah blah tu.
 
Back
Top Bottom