Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
SIo hivyo ,unajua nchi za wazungu huwa wanatazama kama hakuna anenyukuliwa akapiga makelele wao wanahesabu kuwa kuna amani na utulivu,sasa ikiwa serikali ya CCM inatupiga na kutuzalilisha halafu tunakaa kimya kama hakuna lolote kwa vipimo vyao wanahesabu kuwa hapo kuna amani na ilivyokuwa Chadema wameibiwa na hawakurusha hata jiwe basi huachwa hivyo hivyo na wala huwasikii kutia na kusema lao ,inakuwa kwao bado ni green hali haijawa mbaya ,hivyo tunahitajika kuifikisha hali iliyopo kwenye orange ili waanze kufanya wasiwasi na ikiwezekana ifike red ,hapo ndipo wataelewa kuwa serikali ilikuwa imejivalisha ngozi ya kondoo.
Mkuu Mwiba, huyu sultani huyu sultani....bana wee acha tu!!