assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
obama alichovuruga kwa marekani na waafrika ingawa wengine wanaweza wasieleze bayana ni mambo makuu mawili
1. sera ya utoaji wa mimba, hii ilikasirisha watu wengi,
2, ndoa za mashoga na wasagaji hata kubadili sera za jeshi kuwaruhusu waovu hawa kuwa sehemu ya jeshi la marekani liliwaudhi askari na wamarekani wengi. hili pia limechangia jeshi lao kupoteza mwelekeo na kama sijasahau kuna mkuu mmoja wa majeshi alijiudhuru kwa kuona ni ufisadi yeye kusimamia sera hii akiwa mkuu wa operesheni za kijeshi
1. sera ya utoaji wa mimba, hii ilikasirisha watu wengi,
2, ndoa za mashoga na wasagaji hata kubadili sera za jeshi kuwaruhusu waovu hawa kuwa sehemu ya jeshi la marekani liliwaudhi askari na wamarekani wengi. hili pia limechangia jeshi lao kupoteza mwelekeo na kama sijasahau kuna mkuu mmoja wa majeshi alijiudhuru kwa kuona ni ufisadi yeye kusimamia sera hii akiwa mkuu wa operesheni za kijeshi