View attachment 129846
View attachment 129847
Ukiwa na mwanamme aliye mkuu wa kitengo au rais kama Obama usiwe na wivu sana. Utakonda hadi uombe talaka. Hapo ushauri wangu kwa wamama...komaeni mle matunda ya waume zenu hata kama kuna taswira ya kama ''naibiwa vile''
View attachment 129846
View attachment 129847
Ukiwa na mwanamme aliye mkuu wa kitengo au rais kama Obama usiwe na wivu sana. Utakonda hadi uombe talaka. Hapo ushauri wangu kwa wamama...komaeni mle matunda ya waume zenu hata kama kuna taswira ya kama ''naibiwa vile''
sawa tumekusikia, manake hapo tujifanye wajinga sio,ok..lkn akiiba nawe unaiba kwani kuna shida?..dawa ndio hiyo hiyo unapiga kimya kula raha za umaarufu huku na ww unakuwa na kidumu pembeni...baaaaaaas maisha yanaendelea na inakuwa stress freee zone
sawa tumekusikia, manake hapo tujifanye wajinga sio,ok..lkn akiiba nawe unaiba kwani kuna shida?..dawa ndio hiyo hiyo unapiga kimya kula raha za umaarufu huku na ww unakuwa na kidumu pembeni...baaaaaaas maisha yanaendelea na inakuwa stress freee zone
Shhiiiiii wakikusikia...nasikia hata JFK alikuwa rais bora ila alipenda mademu balaa hadi mkewe akawa analindwa asije akamkuta prezda na kimwana ofisini. Ila ukiiba wewe madume yanalinda tena ataambiwa kabla hujatoka anakuja kukufumania ili apate mwanya wa kutoka ki halali
Hakuna kidume cha kuchezea mke wa raisi, pamoja na kwamba haya mambo yanongozwa na tamaa lakini likija kwa mke wa raisi akili inafanya kazi kuliko tamaa. Kitu kingine ni kwamba mke wa raisi anakua na ulinzi mkali na unaripoti kwa raisi, ukifanya michezo kama huo unaweza kukumbwa na mauti kimya kimya.
Not healthy, ataumia bure
naskia wanalala mzungu wa nne! ndoa n zaidi ya urais. kumbe unaweza kuwa kiongoz bora wa taifa ila ukawa kiongoz dhaifu wa familia!
sawa tumekusikia, manake hapo tujifanye wajinga sio,ok..lkn akiiba nawe unaiba kwani kuna shida?..dawa ndio hiyo hiyo unapiga kimya kula raha za umaarufu huku na ww unakuwa na kidumu pembeni...baaaaaaas maisha yanaendelea na inakuwa stress freee zone